Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 624
- 2,772
Wote tunajua ndoa ni jambo la kheri kimila na kidini, kutokana na malalamiko kuwa vijana wanashindwa kutambuana, sio mbaya kwa mfano baba ambaye huwa anahangaika maeneo mbalimbli, endapo atamuaona kijana ambae anaamin ana tabia nzuri, amawambie kuwa amuoe bint yake, na kama mzazi ana uwezo pia sio mbaya akawasapoti wakiwa bado hawajajipanga vizuri kiuchumi