KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
Habari za maandalizi ya kuhesabiwa.
Nimekuja na hili swali sababu kuna incidents zimetokea katika mazingira ninayoishi na kwa baadhi ya rafiki zangu.
Incident ya kwanza kuna binti mmoja alitokea kumpenda mkaka mmoja, walipendana sana but dini zilikuwa tofauti, wazazi wake hasa baba yake alikuwa mkali mno, kupinga yale mahusiano, akisisitiza kusema moyo wake unasita kumuamini jamaa kabisa as the perfect husband. Na pia hakuwa tayari kuona mwanae anaolewa na mtu wa dini tofauti.
Binti kuona anabaniwa akaamua kushika mimba ya jamaa ili iwe rahisi. Na kweli familia haikuwa na jinsi. Wakati mipango ya ndoa inaandaliwa jamaa akaja kuaga kuwa amepata transfer so anaomba akaripoti kwanza then atarudi wakamilishe mipango. Ndo ilikuwa for good, na haikupita hata miez mi2 tukapata habari huko aliko ameoa, tena kwa harusi kubwa.
Binti akakalishwa chini akaambiwa tulikwambia, wazazi wakafanya mpango wakamuhamisha wilaya nyingine but ktk shirika alilokuwa anafanya kazi. Huko tena akapata wa kumpoza roho, dini tofauti tena but akafanya siri kubwa, but bahati mbaya shirika aliokuwa anafanya ni la dini mno, so mahusiano nje ya ndoa kwa mtmishi n tiketi ya kufukuzwa kazi,na waligundua hilo wakawa wanamlia mingo binti. Kabla hawajaprove wazazi wa binti wakapta taarifa wakafunga safari, kwenda wanakuta binti yao kawekwa kinyumba. Walirudi midomo wazi, but hawakusita kumwita bintti yao na kumweleza, walichomwambia ni kuwa mwanaume anaekupenda na mkweli hawez fanya mapenzi ya siri na mbona amekaa na was was. Binti akasema wa kwanzi mlisema na huyu mmeanza kusema, vyovyote alivyo mm nampenda.
Haikupita hata wiki wazazi wakaitwa kuambiwa mtoto wao (binti) anashikiliwa na polisi kuisaidia maana mwanamume anaeishi nae amekamatwa baada ya kugundulika anaficha na kutibia majambazi, wakaenda wakamtoa mtoto wao kwa influence. Wakiwa bado stressed wanapata barua toka shirika kuwa wana mpango wa kumtimua binti sbb ana mahusiano nje ya ndoa na wanataarifa kuwa binti is pregnant. (wazaz walikuwa wanafahamiana na baadhi ya vibopa wa shirika) Binti kuulizwa ikabidi awe mpole. Wazaz hawakuwa na jinsi zaidi ya kuwafungisha ndoa ya bomani kunusuru kazi but hawakuwa na baraka na mwanamume wakidai hawana imani nae.
Maisha ya binti huyo ambaye sasa ni mama wa watoto wa3 hayakuwa mazuri kabisa manyanyaso na kadhia zote, na bahati mbaya mradi ulipunguza wafanyakazi naye akiwemo (elimu ndogo). Hana furaha ile aliyoitegemea na wazazi km wamemsusa. JE? HII INAWEZA KUWA NA CONNECTION NA MAONO YA WAZAZI?
Incident ya pili huyu ni wa ndani ya familia yetu kwa kias flani, yeye alimpenda kijana mwenye mafanikio tu, pesa ya kutosha na maisha ya at least kupata luxury kwa sana. AKadata na hakuambiwa kitu na mtu. Then akawaambia wazazi rasmi kuwa amepata mchumba na anataka kuolewa, wazazi hawakupinga na wkapenda kuonana na muoaji na familia yao ikiwezekana.
Siku ya siku jamaa akatia timu, wakafanya mazungumzo na baba wa binti for long hadi watu wakawa na was was kulikoni. Baadae baba akamwita bintikumuuliza kama kweli pale ndo amefika bei na ni lazima aolewe na jamaa. Huku akimconvince binti yake km vp ahairishe, akitoa sbbu kuwa anahisi kuna siri nyuma ya macho ya jamaa, but binti msimamo na harusi ikafungwa.
Baada ya km nusu mwaka yule binti akaanza kupata msgs za ajabu ajabu, zingine zikimsihi amchunguze sana mume wake. Hakujali wala maana alikuwa kafika though wazazi walikuw bado warried sana, akapata mtoto wa kiume na maisha yakawa yanaendelea.
Siku ya siku akaja mdada asiyemjua akijitambulisha km hawara wa mume wake, she was shoked, mdada akamwambia usipate presha mapema kujitambulisha kwako nitheluthi ya utakayokwenda kuyaona, akamzoa wakaenda night club ambako alishuhudia mumewe akiondoka na malaya. It was shoaked day kwake alilia sana na mumewe hakurudi, na ilikuwa kawaida yake akitoa excusese safari za ghafla, biashara, vikao wakati huo alimwamini, but that day alijua ukweli.
Alichofanya asubuh yake ni kuanza kupekua vitu vya jamaa, kitu ambacho hakuwah kufanya maana alimwamini, alikumbana na box la vidonge, aliamua kwenda navyo hospt, akajieleza wakamwambia ni ARV, alichanganyikiwa akashauriwa kupima kupima,majibu hayakuwa mazuri, alimpima na mwanae, goodluck alikuwa salama. Alirudi kwa wazazi wake na kilio kikubwa ninge wasikiliza. Wazazi waikuwa waelewa wakampokea na hakutaka kurudi tena kwa mumewe pamoja vikao vingi vya familia kukaa kuyazungumza. HILI NALO JE?
Nina incidents nyingi but naogopa kuwachosha na maandishi mengi.
Karibuni.
Nimekuja na hili swali sababu kuna incidents zimetokea katika mazingira ninayoishi na kwa baadhi ya rafiki zangu.
Incident ya kwanza kuna binti mmoja alitokea kumpenda mkaka mmoja, walipendana sana but dini zilikuwa tofauti, wazazi wake hasa baba yake alikuwa mkali mno, kupinga yale mahusiano, akisisitiza kusema moyo wake unasita kumuamini jamaa kabisa as the perfect husband. Na pia hakuwa tayari kuona mwanae anaolewa na mtu wa dini tofauti.
Binti kuona anabaniwa akaamua kushika mimba ya jamaa ili iwe rahisi. Na kweli familia haikuwa na jinsi. Wakati mipango ya ndoa inaandaliwa jamaa akaja kuaga kuwa amepata transfer so anaomba akaripoti kwanza then atarudi wakamilishe mipango. Ndo ilikuwa for good, na haikupita hata miez mi2 tukapata habari huko aliko ameoa, tena kwa harusi kubwa.
Binti akakalishwa chini akaambiwa tulikwambia, wazazi wakafanya mpango wakamuhamisha wilaya nyingine but ktk shirika alilokuwa anafanya kazi. Huko tena akapata wa kumpoza roho, dini tofauti tena but akafanya siri kubwa, but bahati mbaya shirika aliokuwa anafanya ni la dini mno, so mahusiano nje ya ndoa kwa mtmishi n tiketi ya kufukuzwa kazi,na waligundua hilo wakawa wanamlia mingo binti. Kabla hawajaprove wazazi wa binti wakapta taarifa wakafunga safari, kwenda wanakuta binti yao kawekwa kinyumba. Walirudi midomo wazi, but hawakusita kumwita bintti yao na kumweleza, walichomwambia ni kuwa mwanaume anaekupenda na mkweli hawez fanya mapenzi ya siri na mbona amekaa na was was. Binti akasema wa kwanzi mlisema na huyu mmeanza kusema, vyovyote alivyo mm nampenda.
Haikupita hata wiki wazazi wakaitwa kuambiwa mtoto wao (binti) anashikiliwa na polisi kuisaidia maana mwanamume anaeishi nae amekamatwa baada ya kugundulika anaficha na kutibia majambazi, wakaenda wakamtoa mtoto wao kwa influence. Wakiwa bado stressed wanapata barua toka shirika kuwa wana mpango wa kumtimua binti sbb ana mahusiano nje ya ndoa na wanataarifa kuwa binti is pregnant. (wazaz walikuwa wanafahamiana na baadhi ya vibopa wa shirika) Binti kuulizwa ikabidi awe mpole. Wazaz hawakuwa na jinsi zaidi ya kuwafungisha ndoa ya bomani kunusuru kazi but hawakuwa na baraka na mwanamume wakidai hawana imani nae.
Maisha ya binti huyo ambaye sasa ni mama wa watoto wa3 hayakuwa mazuri kabisa manyanyaso na kadhia zote, na bahati mbaya mradi ulipunguza wafanyakazi naye akiwemo (elimu ndogo). Hana furaha ile aliyoitegemea na wazazi km wamemsusa. JE? HII INAWEZA KUWA NA CONNECTION NA MAONO YA WAZAZI?
Incident ya pili huyu ni wa ndani ya familia yetu kwa kias flani, yeye alimpenda kijana mwenye mafanikio tu, pesa ya kutosha na maisha ya at least kupata luxury kwa sana. AKadata na hakuambiwa kitu na mtu. Then akawaambia wazazi rasmi kuwa amepata mchumba na anataka kuolewa, wazazi hawakupinga na wkapenda kuonana na muoaji na familia yao ikiwezekana.
Siku ya siku jamaa akatia timu, wakafanya mazungumzo na baba wa binti for long hadi watu wakawa na was was kulikoni. Baadae baba akamwita bintikumuuliza kama kweli pale ndo amefika bei na ni lazima aolewe na jamaa. Huku akimconvince binti yake km vp ahairishe, akitoa sbbu kuwa anahisi kuna siri nyuma ya macho ya jamaa, but binti msimamo na harusi ikafungwa.
Baada ya km nusu mwaka yule binti akaanza kupata msgs za ajabu ajabu, zingine zikimsihi amchunguze sana mume wake. Hakujali wala maana alikuwa kafika though wazazi walikuw bado warried sana, akapata mtoto wa kiume na maisha yakawa yanaendelea.
Siku ya siku akaja mdada asiyemjua akijitambulisha km hawara wa mume wake, she was shoked, mdada akamwambia usipate presha mapema kujitambulisha kwako nitheluthi ya utakayokwenda kuyaona, akamzoa wakaenda night club ambako alishuhudia mumewe akiondoka na malaya. It was shoaked day kwake alilia sana na mumewe hakurudi, na ilikuwa kawaida yake akitoa excusese safari za ghafla, biashara, vikao wakati huo alimwamini, but that day alijua ukweli.
Alichofanya asubuh yake ni kuanza kupekua vitu vya jamaa, kitu ambacho hakuwah kufanya maana alimwamini, alikumbana na box la vidonge, aliamua kwenda navyo hospt, akajieleza wakamwambia ni ARV, alichanganyikiwa akashauriwa kupima kupima,majibu hayakuwa mazuri, alimpima na mwanae, goodluck alikuwa salama. Alirudi kwa wazazi wake na kilio kikubwa ninge wasikiliza. Wazazi waikuwa waelewa wakampokea na hakutaka kurudi tena kwa mumewe pamoja vikao vingi vya familia kukaa kuyazungumza. HILI NALO JE?
Nina incidents nyingi but naogopa kuwachosha na maandishi mengi.
Karibuni.