Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
<br />Kama una amini kuwa kuheshimu wazazi kunaongeza baraka pale wanapokupinga au kukushauri chukua muda kufanyia kazi ushauri wao. Ndoa ni mapenzi moto moto mwanzo kuna ups and downs baadae. Sasa kama ulioa/olewa kwa mbwembwe na jeuri ndio wale mtu ananyanyasika lakini anakomaa kwani anahisi akiwambia wazazi na ndugu watamcheka kuwa walimwambia akawaona machizi.<br />
<br />
Raha sana ukioa/olewa na mtu ambaye wazazi wamemkubali. Wakipinga vuta muda utaanza kuona wanayosema kama umevuta muda na bado waona he/she is the one oa/olewa. Mimi nina mpaka marafiki zangu wanakiri kuwa waliambiwa na wazazi wasiolewe na waume walionao. Sasa hivi wanaliona joto la jiwe na hawathubutu kushare na ndugu zao matatizo walonayo.
<br />
hapo kwenye kuvuta subira iwapo wazazi wamemkataa mkwe ni ushauri mzuri sana NK.
Ukivuta muda kama kuna lolote baya kuhusu mtarajiwa wako litadhihirika tu.
Inaumiza mara mbili inapotokea umelazimisha kufanya jambo halafu hilo jambo likaleta -ve impacts. Ni aibu na ni ngumu kushare hayo matatizo.