utoto raha kweli hawana habari kwamba kuna baya laweza tokea....unaweza kuta amepiwa hela ya nauli ameshakula barafu na bumunda inabidi hali iwe kama hivyo
wanapotoka au kuelekea shule hakikisheni mnawawezesha na kuwafundisha kupita na kutumia vymbo salama, siku akidondoka ukaitwa muhimbili kuchukua maiti usilie.
View attachment 65303
View attachment 65304