Hawa wazanzibari wameona huku kwetu Tanganyika ni chooni ambapo wanaweza kuingia na kutoka lakini kwao huko ni master bedroom haingii Kila mtu. Sasa mimi najiuliza wabara wangapi wako huko na wazenji wangapi wako bara. Kila mtu akiambiwa kurejea kwao nani upande gani utakuwa umepoteza zaidi.