Pdidy
Platinum Member
- Nov 22, 2007
- 61,657
- 37,821
Jamani nimeguswa na swala lililomtokea ndugu yetu Masauni simjui hakika; ila nimeangalia nikaona kuna umhimu wa wa zanzibar kuamka na kuacha kuwa wanyonge kila siku..embu jiulizeni kughushi shule na mwaka lipi kosa?
Wabunge wamegushi degree tena na mawaziri wapo serikalini na bado wakakomaa kuongelea wala kukiri.
Masauni acha uzanzibar wa kutishiwa kidogo na nyau wale mafisadi pamoja na kuwa na evidence mbona hawa takataka wako bungeni?
Semeni basi! Inatisha; si mmesikia Hedaru uko wamechoka?
Wabunge wamegushi degree tena na mawaziri wapo serikalini na bado wakakomaa kuongelea wala kukiri.
Masauni acha uzanzibar wa kutishiwa kidogo na nyau wale mafisadi pamoja na kuwa na evidence mbona hawa takataka wako bungeni?
Semeni basi! Inatisha; si mmesikia Hedaru uko wamechoka?