Rais Kikwete alianza kutangaza siku 3 za maombolezo nchi nzima ya Tanzania, tena Rais Shein katangaza siku 3 za maombolezo kwa Zanzibar. Ina maana wazanzibari wataomboleza jumla ya siku 6 au ni sawa na vifungo viwili jela vinavyokwenda pamoja?
Nani alokwambia bara ni sehemu ya Zanzibar? Zanzibar ni Sovereign country yenye Rais, Amiri Jeshi, bendera, wimbo wa taifa, nk. Shein halazimiki kusikiliza ushauri wa Jk, kilammoja ana maamuzi juu ya taifa lake. Au unataka kusema Shein anasema chako chetu, changuchangu? Muelewe kuwa suala la muungano is quite an issue
ina maana issue hii tunaijua sisi tu JF bali JK na Shein hawaijui hadi kufikia kututangazia double double siku za maombolezo? Kwa nini wasitoe tamko la pamoja kama ni lazima wote waseme?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.