Wazanzibari kuitolea kauli rasimu leo

Wazanzibari kuitolea kauli rasimu leo

Mansoor: Sikubaliani na mfumo wa muungano wa CCM...katiba ya Sitta haitavuka bahari kuja Zanzibar.Nitapambana mpaka mwisho.
 
Sasa ni Hassan Nasoro Moyo (mzee) anaingia jukwaani...huyu ndiye muasisi wa mapinduzi
 
Mzee moyo Hassan: Ni tatu na sii vinginevyo. Hatutakubali nchi itwaliwe.
Mzee Moyo Hassan Nasoro ameahidi kuandaa konganano kuelezea kila kitu kuhusu mapinduzi na muungano.
 
Mansoor: Sikubaliani na mfumo wa muungano wa CCM...katiba ya Sitta haitavuka bahari kuja Zanzibar.Nitapambana mpaka mwisho.

Kazi ipo. RasimuI ya wakina Warioba ilikataliwa tena kwa kuchanwachanwa. Tusubiri hii ya Sitta na Chenge itakuaje?!
 
Jamani wadau nambeni kujuzwa kama kuna mtu ana apdate yoyote kuhusu mkutano wa maalin seif atuwekee hapa jukwaani kwani nina uchu mkubwa kuona yanayojiri huko kibanda maiti maana ccm waneshatuchosha
 
Seif Sharif: Hatuitaki katiba.
Anasema kuwa hawezi kujiuzulu umakamu wa rais.Anasema kuwa katiba ya Sitta haikuwahi kujadiliwa Zanzibar hivyo aliyosema Shein ni uwongo na ni yake mwenyewe.
 
Seif Sharif: Hatuitaki katiba.
Anasema kuwa hawezi kujiuzulu umakamu wa rais.Anasema kuwa katiba ya Sitta haikuwahi kujadiliwa Zanzibar hivyo aliyosema Shein ni uwongo na ni yake mwenyewe.

tunataka kujua hatma na msimamo wao
 
Mbona anayarudia yale yale yaliyowahi kusemwa? Nasi asiyejua kwamba alianza kuhutubia ji warioba na sio jk
 
Mzee sharif kukataa kujitoa kwenye SUK ni kuwasaliti UKAWA waliokataa posho na kujitoa kwenye bunge la katiba,yeye kwann anabaki huko serikalini kula posho??
 
Mzee sharif kukataa kujitoa kwenye SUK ni kuwasaliti UKAWA waliokataa posho na kujitoa kwenye bunge la katiba,yeye kwann anabaki huko serikalini kula posho??

Kwani hiyo posho walioikataa UKAWA huko BMK imekwenda wapi? Sidhani posho ni issue hapa, tuangalia mstakabali wa nchi.
 
Seif Shariff anamjibu Kikwete juu ya katiba nzuri ni ipi? Anamwambia kuwa ni ile iliyotoka kwa wananchi na kupata maridhiano.Anasema kuwa katiba ya Chenge wameitunga wenyewe, wakaijadili wenyewe, wakaipitisha wenyewe na kuichezea ngoma wenyewe haiwezi kuwa katiba nzuri!
 
Back
Top Bottom