Jamhuri ya Zanzibar
Senior Member
- Jul 17, 2012
- 127
- 195
TANGAZO!
Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Chama cha wananchi CUF kinawatangazia wanachama, wapenzi na wazanzibari wote wa mikoa mitatu ya Unguja, wazalendo na wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika mkutano mkubwa wa hadhara wa aina yake na wa kihistoria utakaofanyika leo Jumapili ya tarehe 12/10/2014 katika viwanja vya Kibanda maiti, Unguja.
Mageni rasmi katika Mkutano huo ni Simba wa nyika, tishio la vibaraka wauza nchi yetu, kipenzi cha wazanzibari, mwenye uzalendo wa hali ya juu na mapenzi makubwa kwa Zanzibar na wazanzibari, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.
.
Mkutano utaanza saa 8:00 barabara za mchana mpaka saa 12:00 jioni.
Ni sasambusasambu ya rasimu yenye majina mengi:
a) Rasimu ya vijisenti.
b) Rasimu ya Sitta
c) Rasimu ya vitisho.
d) Rasimu iliyopendekezwa na CCM, iliyojadiliwa na CCM na iliyopitishwa na CCM.
e) Rasimu ya uchakachuaji.
f) Rasimu ya fax, sms, twiter, facebook, viber, skype na tango
g) Rasimu ya kura za Hamad Rashid.
Hivi Rasimu hii ndio imeshapita? Hivi biashara ya kuiuza Zanzibar na wazanzibari ndio imekamilika? Nini kinachofuatia?
Maswali yote hayo yatapatiwa majibu pamoja na mambo kadhaa muhimu.
Hatumwi mototo!
Shime wazanzibari wote kuhudhuria kwa wingi bila ya kukosa!Mkutano utarushwa moja kwa moja kupitia
1. Kituo cha televisheni cha SIBUKA katika king'amuzi cha Startimes.
2. Kituo cha Radio cha chuchu FM 90.9.
3. Mtandaoni katika live stream ya chuchu FM radio www.chuchufm.com.
Ni leo Jumapili saa 9 mchana huu.
Haya haya wazanzibari! Kumekucha! La mgambo likilia kuna jambo! Chama cha wananchi CUF kinawatangazia wanachama, wapenzi na wazanzibari wote wa mikoa mitatu ya Unguja, wazalendo na wapenda nchi yao kwa jumla kuhudhuria kwa wingi katika mkutano mkubwa wa hadhara wa aina yake na wa kihistoria utakaofanyika leo Jumapili ya tarehe 12/10/2014 katika viwanja vya Kibanda maiti, Unguja.
Mageni rasmi katika Mkutano huo ni Simba wa nyika, tishio la vibaraka wauza nchi yetu, kipenzi cha wazanzibari, mwenye uzalendo wa hali ya juu na mapenzi makubwa kwa Zanzibar na wazanzibari, Makamo wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar na Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad.
.
Mkutano utaanza saa 8:00 barabara za mchana mpaka saa 12:00 jioni.
Ni sasambusasambu ya rasimu yenye majina mengi:
a) Rasimu ya vijisenti.
b) Rasimu ya Sitta
c) Rasimu ya vitisho.
d) Rasimu iliyopendekezwa na CCM, iliyojadiliwa na CCM na iliyopitishwa na CCM.
e) Rasimu ya uchakachuaji.
f) Rasimu ya fax, sms, twiter, facebook, viber, skype na tango
g) Rasimu ya kura za Hamad Rashid.
Hivi Rasimu hii ndio imeshapita? Hivi biashara ya kuiuza Zanzibar na wazanzibari ndio imekamilika? Nini kinachofuatia?
Maswali yote hayo yatapatiwa majibu pamoja na mambo kadhaa muhimu.
Hatumwi mototo!
Shime wazanzibari wote kuhudhuria kwa wingi bila ya kukosa!Mkutano utarushwa moja kwa moja kupitia
1. Kituo cha televisheni cha SIBUKA katika king'amuzi cha Startimes.
2. Kituo cha Radio cha chuchu FM 90.9.
3. Mtandaoni katika live stream ya chuchu FM radio www.chuchufm.com.
Ni leo Jumapili saa 9 mchana huu.