Wazamiaji "divers" kuvaa soksi mikononi na miguuni

Wazamiaji "divers" kuvaa soksi mikononi na miguuni

lukelo sakafu

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2015
Posts
2,938
Reaction score
517
Wakuu kuna hawa jamaa wanaofanya kazi ya kuzamia baharini uwa wanaenda mpaka kina kirefu chini ya bahari kwa lugha nyingine wanaitwa DIVERS,hawa jamaa kabla hawajaingia katika maji ni lazima wavae soksi nyeusi mikononi na miguuni, kwa nini wanafunika nyayo za mikono na miguu? Je hawawezi kuzamia maji bila ya kuvaa hivyo vifaa? Kama kuna mwenye kujua hizi ishu za madivers atujuze
 
ukijua kwa nini bata huwa anaogelea na kuku hawezi utajua kwa nini hao divers wanavaa hayo mapila,
 
Viganja na unyayo ni rahisi kuvutia predators kwa sababu vinaonekana toka mbali, na pia yanamsaidia kutumia nguvu kidogo kuogelea
 
zile soksi zinawasadi kusogea au kupiga mbizi kirahisi ni kama mabawa ya ndege, bila mabawa ndege hairuki, pia huwasadia kujilinda zidi ya wadudu wadogowadogo wa baharini wasiwangate kwenye zile sehemu zilizo wazi
 
INA TEGEMEA ISHU NN MPAKA MADAIV KUZAMIA KWA MAKUNDI AU MOJA.KUVAA MASKI MIKONONI,MIGUU,KUNA FAIDA2
1-kumwezesha kukata maji kwa urahi na kwa haraka
2-viganja vya mikono,miguu huungaa sm ukiwa ndani ya maji haswa yabahari(chumvi)hivyo kuonekana kirahic sn na samaki..
.haswe wakubwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom