Way out for JK: National Infrastructure projects

Way out for JK: National Infrastructure projects

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
881
As it is he is viwed as a lame duck president. wakuuu wa wilaya wale wale, serikali imeajiri jeshi kubwa la ma civil servants, TRA haikusanyi kodi ipasavyo (kwa sababu hakuna umeme), hakuna accountability, hakuna transparency, wananchi hali zao bado ni ngumu, na serikali inaspend pesa nyingi kwenye makelele ya siasa badala ya kufanya kazi, investor confidence iko all time low (KINYESI KUNUKA AIRPORT DAR, URASIMU BRELA etc), bila kuuambia sahau kuwa serikali hii inaongoza kwa kupiga vita mambo ya TRANSPARENCY so hakuna web portal kutuambia what these guys have been up to....kuanzia WEBSITE YA IKULU to individual ministries and WEBSITE YA TAIFA yenye data na stats.


Lakini there is a way out.

I think infrastructure projects might be a way out.

Watu watapata ajira

TRA watapata kodi zao

Itapunguza unemployment kwa kiasi kikubwa

Sub contractors nao watanufaika

Lakini tatizo liko pale pale...serikali haina pesa hata ya kutoa guarantee ya hii miradi mikubwa.

Jamani huu si mjadala wa CCM vs CHADEMA bali ni wa kuangalia strategies za namna ya kujikwamua kwenye hiii hali

Thoughts?
 
waambieni waliomuweka madarakani Jakaya wawakwamue.

Watanzania waliamua, wao wakafanya walivyotaka.

Leo TRA walitawanywa mchana kweupe kuvizia viduka vinavyouza mchele ati wanadai kodi.

hii ni serekali au ni gagula?

puuuuuuuuuuuuuf!!!
 
Mjadala uliopo sasa ni ukombozi wa taifa letu na si vinginevyo. CDM haipo kuisaidia CCM kuongoza, ipo kuwaambia wananchi jinsi CCM ilivyoshindwa.

Cha msingi sasa ni kuzungumza namna ya kuiondoa CCM madarakani ikiwezekana kabla ya 2015, kwani kuendelea kwake kuongoza nchi ni janga la kitaifa
 
Vyombo vya habari tu...

Kelele nyingi kwa vitu visivyo na maana..

Serikali inaendesha projects za maana na maendeleo kuliko wakati wowote Tanzania...

Ujenzi unaoendelea katika mikoa ya pembezoni ni ushahidi tosha..

Kama unajishughulisha kuangalia kina Slaa, Lema na chadema huwezi ona chochote..maana hawa wameamua wasione chochote ..
 
Wewe at the very best utakuwa mgonjwa wa akili! Kwa maana ni wewe na wenye mazingira kama yako pekee ndio wanaoshabikia mateso ya Watanzania walio wengi!

Na uende ukawaambie waliokutuma.

Vyombo vya habari tu...

Kelele nyingi kwa vitu visivyo na maana..

Serikali inaendesha projects za maana na maendeleo kuliko wakati wowote Tanzania...

Ujenzi unaoendelea katika mikoa ya pembezoni ni ushahidi tosha..

Kama unajishughulisha kuangalia kina Slaa, Lema na chadema huwezi ona chochote..maana hawa wameamua wasione chochote ..
 
Vyombo vya habari tu...

Kelele nyingi kwa vitu visivyo na maana..

Serikali inaendesha projects za maana na maendeleo kuliko wakati wowote Tanzania...

Ujenzi unaoendelea katika mikoa ya pembezoni ni ushahidi tosha..


Kama unajishughulisha kuangalia kina Slaa, Lema na chadema huwezi ona chochote..maana hawa wameamua wasione chochote ..

ntajie intrastructure project kubwa yoyote inayoendelea mkoa wa Pwani, inacost how much na imeajiri watu wangapi na TRA wana estimate watakusanya how much toka kwa hao wanaofanya kazi
 
ntajie intrastructure project kubwa yoyote inayoendelea mkoa wa Pwani, inacost how much na imeajiri watu wangapi na TRA wana estimate watakusanya how much toka kwa hao wanaofanya kazi

Mkuu,
Najua project kadhaa za mkoa wa pwani sina data za cost na number za waajiriwa..lakini utakuwa unajua muliplier effect waweza ku-deduce mwenyewe

1. Barabara ya Lami kutoka Msata - Bagamoyo
2. Ujenzi wa chuo kikuu Bagamoyo University
3. Mradi wa barabara kiwango cha lami Mlandizi - Bagamoyo

uliza zaidi
 
Wewe at the very best utakuwa mgonjwa wa akili! Kwa maana ni wewe na wenye mazingira kama yako pekee ndio wanaoshabikia mateso ya Watanzania walio wengi!

Na uende ukawaambie waliokutuma.
Unajitesa kwa ushabiki wako
 
Mkuu,
Najua project kadhaa za mkoa wa pwani sina data za cost na number za waajiriwa..lakini utakuwa unajua muliplier effect waweza ku-deduce mwenyewe

1. Barabara ya Lami kutoka Msata - Bagamoyo
2. Ujenzi wa chuo kikuu Bagamoyo University
3. Mradi wa barabara kiwango cha lami Mlandizi - Bagamoyo

uliza zaidi
Miradi iko funded na pesa toka wapi?

Ina employ watu wa ngapi?

Ukubwa wa miradi statistically ( ina worth how much)

shukran
 
Mkuu,
Najua project kadhaa za mkoa wa pwani sina data za cost na number za waajiriwa..lakini utakuwa unajua muliplier effect waweza ku-deduce mwenyewe

1. Barabara ya Lami kutoka Msata - Bagamoyo
2. Ujenzi wa chuo kikuu Bagamoyo University
3. Mradi wa barabara kiwango cha lami Mlandizi - Bagamoyo

uliza zaidi
wachina si ndio wameajiriwa hapa kweli?
 
As it is he is viwed as a lame duck president. wakuuu wa wilaya wale wale, serikali imeajiri jeshi kubwa la ma civil servants, TRA haikusanyi kodi ipasavyo (kwa sababu hakuna umeme), hakuna accountability, hakuna transparency, wananchi hali zao bado ni ngumu, na serikali inaspend pesa nyingi kwenye makelele ya siasa badala ya kufanya kazi, investor confidence iko all time low (KINYESI KUNUKA AIRPORT DAR, URASIMU BRELA etc), bila kuuambia sahau kuwa serikali hii inaongoza kwa kupiga vita mambo ya TRANSPARENCY so hakuna web portal kutuambia what these guys have been up to....kuanzia WEBSITE YA IKULU to individual ministries and WEBSITE YA TAIFA yenye data na stats.


Lakini there is a way out.

I think infrastructure projects might be a way out.

Watu watapata ajira

TRA watapata kodi zao

Itapunguza unemployment kwa kiasi kikubwa

Sub contractors nao watanufaika

Lakini tatizo liko pale pale...serikali haina pesa hata ya kutoa guarantee ya hii miradi mikubwa.

Jamani huu si mjadala wa CCM vs CHADEMA bali ni wa kuangalia strategies za namna ya kujikwamua kwenye hiii hali

Thoughts?

Mkuu hebu cheki magazeti ya leo utapata majibu yako.
Huko miundombinu hakuna uafadhali
 
Mkuu,
Najua project kadhaa za mkoa wa pwani sina data za cost na number za waajiriwa..lakini utakuwa unajua muliplier effect waweza ku-deduce mwenyewe

1. Barabara ya Lami kutoka Msata - Bagamoyo
2. Ujenzi wa chuo kikuu Bagamoyo University
3. Mradi wa barabara kiwango cha lami Mlandizi - Bagamoyo

uliza zaidi

Wewe kasome gazeti la mwananchi la leo, miradi hii haijaanza na wakandarasi watatoa notice ya kusitisha kwa sababu serikali Imeshindwa kulipa hela za kuanza project.
 
Lipo tatizo kubwa sasa hivi kwenye management ya uchumi wetu. Rushwa imeachwa ifanye inavyotaka na ndio maana hata ukusanyaji wa kodi umeshuka. Kwa bahati mbaya kila project inayokuja kwa jina la kuleta ukombozi, kwa mfano ile ya umeme wa engine za diesel za Aggreko nayo ina halafu ya kitu fulani hakiko sawasawa.
My worry ni kwamba sioni nia ya dhati ya kudhibiti hali hii mbaya ya uchumi ambayo taratibu inaanza kujitokeza. kama serikali haina hela basi impact yake itakuwa ni kubwa kwenye anguko la uchumi.
 
Vyombo vya habari tu...

Kelele nyingi kwa vitu visivyo na maana..

Serikali inaendesha projects za maana na maendeleo kuliko wakati wowote Tanzania...

Ujenzi unaoendelea katika mikoa ya pembezoni ni ushahidi tosha..

Kama unajishughulisha kuangalia kina Slaa, Lema na chadema huwezi ona chochote..maana hawa wameamua wasione chochote ..

Topical,
Kwanini unafikiri ni vyombo vya habari ndio vinaripoti vibaya? Ina maana hali halisi haiendani na nini vyombo vya habari vinaripoti?
 
Mkuu,
Najua project kadhaa za mkoa wa pwani sina data za cost na number za waajiriwa..lakini utakuwa unajua muliplier effect waweza ku-deduce mwenyewe

1. Barabara ya Lami kutoka Msata - Bagamoyo
2. Ujenzi wa chuo kikuu Bagamoyo University
3. Mradi wa barabara kiwango cha lami Mlandizi - Bagamoyo

uliza zaidi

Hakunaga kitu kama hichoV kwa sasa. Muwe mansikiliza news kwenye TV/Radios.
Kwa taarifa yenu tu ni kwamba jana M/Kiti wa Kamati ya Bunge ya Miundo mbinu Mhe. Peter SeruADI YOTE YA BARAkamba alisema kuwa MIRADI YOTE ya ujenzi wa barabara kwa viwango vya LAMI imesimama. Kisa?? Hakuna hela.Wakandarasi wanaidai serikali more than 400 B/= Tshs.

Serikali ya JK imefulia kinoma na Inflation kwanza ndo inazidi kupamba moto. Very soon Dollar inaenda kuwa na Tshs. 2,000/=au zaidi. Maisha hayakamatiki. Umeme hakuna na Viwanda vingi vimesimama au vinazalisha chini ya uwezo!!!!
 
quot " KUMCHAGUA TENA KIWETE KUINGOZA NCHI HII LITAKUWA JANGA LA KITAIFA" by Dr Slaa
 
Topical inamaana hajauona huu mtego?

mwanzisha mada hana lolote

atakae taka kuchangia ajue kuwa atadaiwa data za ku back up arguments. Mwenyewe keshasema huu si mjadala wa vyama vya siasa

so I dont expect much kwani topiki kama hizi si saizi ya intelligence za wana JF (wa siku hizi)
 
Hakunaga kitu kama hichoV kwa sasa. Muwe mansikiliza news kwenye TV/Radios.
Kwa taarifa yenu tu ni kwamba jana M/Kiti wa Kamati ya Bunge ya Miundo mbinu Mhe. Peter SeruADI YOTE YA BARAkamba alisema kuwa MIRADI YOTE ya ujenzi wa barabara kwa viwango vya LAMI imesimama. Kisa?? Hakuna hela.Wakandarasi wanaidai serikali more than 400 B/= Tshs.

Serikali ya JK imefulia kinoma na Inflation kwanza ndo inazidi kupamba moto. Very soon Dollar inaenda kuwa na Tshs. 2,000/=au zaidi. Maisha hayakamatiki. Umeme hakuna na Viwanda vingi vimesimama au vinazalisha chini ya uwezo!!!!

so what's his way out?
 
...Lakini there is a way out. I think infrastructure projects might be a way out. Watu watapata ajira, TRA watapata kodi zao, Itapunguza unemployment kwa kiasi kikubwa, Sub contractors nao watanufaika. Lakini tatizo liko pale pale...serikali haina pesa hata ya kutoa guarantee ya hii miradi mikubwa.

Jamani huu si mjadala wa CCM vs CHADEMA bali ni wa kuangalia strategies za namna ya kujikwamua kwenye hiii hali

Thoughts?


Huu mjadala una mashiko. Game Theory, Saint Ivuga, GEORGE Smile mpo tuanze kujadili?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom