Na ukweli huu tuliujua toka zamani hizo za kukosa usalama,BADO ANSELIM MINJA,naye yupo kwenye obligation list yenu!! Na yeye pia anaelewa hilo,kama ambavyo mawalla alivyokuwa aware na kilichotokea,haya ni mambo madogo sana kwa ccm unayoishabikia,makubwa zaidi yapo chini ya carpet.[/QUOTE
Mkuu nakushauri kama raia mwema mwenzako, ukiwa na jambo lolote lile ambalo unahisi linaweza tokea peleka katika ngazi husika, hakuna haja ya kukaa na mambo chini ya kapeti, nenda polisi mkuu