hahaha Mbeya huko baba
unakwenda kwa mganga baada ya kutimiza masharti yake anakuambia uchukue
punje uzimwage mbele ya KUKU, yule kuku atakula punje pale let say punje
7. Hapo inamaanisha utakuwa stinking rich for 7yrs halafu mzee unavuta
ghafla tu km wale jamaa wa Arusha.