Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
We wacha tu ,Mtanganyika akifika Zanzibar anaona ndio amekwisha fika Ulaya ,ni juzi tu mmoja ametokea Zenji kufanya shoping ya arusi ila wakati anarudi fisadi akammaliza uhai wake.
Tatizo wale waliokuwa hawajafika ambao wako huko mikoani ndanindani wanaona Wazenji wote ni weupe na waarabu ,mi niliwashangaa sana pale Shinyanga tukiwa katika michezo ya Umiseta ,walitokea wakawa wanatushangaa na kutuita eti sio WaZenji kwa sababu ni weusi. Ipo kaazi kweeli.
Tatizo wale waliokuwa hawajafika ambao wako huko mikoani ndanindani wanaona Wazenji wote ni weupe na waarabu ,mi niliwashangaa sana pale Shinyanga tukiwa katika michezo ya Umiseta ,walitokea wakawa wanatushangaa na kutuita eti sio WaZenji kwa sababu ni weusi. Ipo kaazi kweeli.