Wawakilishi wakusudia kufanya kweli

Hawa wazenj waachieni hayo mafuta yao; lakini itabidi walipe madeni yote ya umeme na pia itabidi wajilipie mambo ya ulinzi; tuone kama watagangamara!! Hawa jamaa wanajifanya wako pamoja kwenye mambo haya ya mafuta lakini hawajui kuwa hayo mafuta wanayopigia alinacha yanaweza kuwa ndio laana yao wakachinjana kama kuku!!

Pendekezo zuri na unafikiri tukichimba mafuta yetu tutashindwa kununua umeme kutoka Kenya?
Ama kwa ulinzi nafikiri hatuuhitaji kwani tunajilinda dhidi ya nani? Haizidi itakua faraja ndugu zetu watarudi kutoka kigoma na Mbeya.

Kama ni laana na ije lakini kumbuka tu kuwa kule Tarime hakuna mafuta na watu wanachinjana.
 
Nyie Wazenji acheni ushamba, Wanyamwezi nyie.
Kukaa huko msijione mmekuwa bora sana zaidi yangu niliyebaki Tabora. Mnajua nasema nini, Wamanyema nyie.
Mambo ni mawili.
1. Kama kwa faida ya Tanganyika (interest) tunaona kuwa Zanzibar lazima ishikiliwe, basi mjue hatutasita kufanya hivyo. Kwani mtatufanya nini? Jeshi hamna, Polisi hamna. Karume lazima atupapatikie sisi ili adumu madarakani. Sie kama vile hatupo vile. Uroho wa CCM kuwa madarakani, siku zote utaleta vibaraka wapya wataotaka kuwa na Muungano. Kama tutaona kuwa Muungano ukifa basi Pemba na Unguja watazichapa na tanganyika ianze kupata wakimbizi kutoka kwenu, basi hata kama ni mie ntashikilia muungano kwa nguvu. Mtake msitake, mtalia hadi msage mawe na hakuna atakayewasikiliza. Mtu akipiga makelele ni kumwambia CIA na FBI kuwa ni AL-Qaid hao....

2. Cha pili ni hiki kwamba kama Muungano unatutia hasara na watu wasio na shukurani, hamna manufaa yoyote kwetu, basi Tanganyika ni jina poa sana. Tutakuacheni na visiwa vyenu ila kwa masharti kuwa tutatake control ya ulizni kwa muda ili watoto wajue kuvaa nguo za kujitegemea. Na mwisho wa mwezi mnawekewa bill ya ghalama za ulinzi mezani na maadamu mtakuwa na mafuta (kama yapo hi hiiiii, tamaa mbele..) basi mtalipa na Sultani wa Mwiba itabidi aanze kutulilia ili tumsaidie.

Hivyo hamna haja ya kutumia nguvu sana. Kumbukeni kifungu cha kwanza ndicho kina nguvu sana. Heri nyie msote kuliko sisi tusote. Mpende jirani kama kama nafsi yako na si Mpende jirani yako kuliko nafsi yako. Narudia tena kuwa kama kuna mtu wa kusota basi atakuwa ni nyie na si sis Watanganyika. Ukweli unauma ila HABARI NDIYO HIYO!!
 
Ndugu zangu wabara wenzangu, nafikiri badala ya kulichukulia hili jambo kwa jazba na kujibu kwa hamaki tuchukue muda tulitafakari hili jambo, hii ni habari nzito. Huyu ni mwakilishi wa serekali halali iliyochaguliwa na wananchi, anaomba waungane na kuwa kitu kimoja kwa ajili ya kupinga. Si jambo dogo!. Hii ni wazi kuwa upande wa pili wa muungano aidha hawaridhiki au wangependa wawe huru. Mawazo yangu ni kuwa kwa wale wenye nafasi ya kuweza kukaa na viongozi wetu wa serikali ya Muungano, wajaribu kuwashauri ili watumie busara na kuwapa nchi yao. Si vizuri kila kukicha tunaonekana kama tunawaonea wenzetu, wakati hakuna mwenye nia hiyo. Ila muwashauri wasije na siasa za kujaribu kupoza kwa kutengua baadhi ya vipengele vya sheria ili wawe na mafuta yao, au wawe na hili. Hawa wanachotaka ni nchi yao mengine yote ni sababu. Wasipopewa nchi yao kesho watakuja na lingine, WAPENI NCHI YAO JAMANIIIII!
 
Pendekezo zuri na unafikiri tukichimba mafuta yetu tutashindwa kununua umeme kutoka Kenya?
Ama kwa ulinzi nafikiri hatuuhitaji kwani tunajilinda dhidi ya nani? Haizidi itakua faraja ndugu zetu watarudi kutoka kigoma na Mbeya.

Kama ni laana na ije lakini kumbuka tu kuwa kule Tarime hakuna mafuta na watu wanachinjana.


Hata Congo. Nigeria wana mafuta na ni matajiri sana dunia hii kama mabavyo mtakuwa nyie mkipata mafuta.

Ndugu zenu wakirudi kutoka Kigoma na Mbeya na pia wale wa Dar, basi Dar es Salaam tutaanza kupumua maana watu wengi sana kamji kale. Nyumba zaitakuwa kibao, umeme utatosha, maji pia. Foleni za magari barabarani pia zitapungua. Na wake zetu wananusurika kutoka katika vitanda vya Wapemba walaghai.
Tarime kuna Madini ndiyo maana mnaona vile. Ni kama Congo mashariki. Si lazima kuwe na mafuta tu ndiyo watu wauwane.

Ehh, unauliza kwa nini mnataka ulinzi? Yaani mnataka kuchimba mafuta na hamna ulinzi wa kueleweka? Duu, mbona itakuwa safi sana. Itatosha tu Rostam Azizi na Lowassa waje Zenji, wampe kwa mfano tuseme Kibunago visenti kidogo na wanajeshi, basi tayari kashapindua nchi. Hebu angalieni picha moja liitwalo INTERNATIONAL ambalo kacheza Clive Owen na Naomi Watts mtajua nina maana gani. Nyie watu naona hamjui lolote kuhusu ujasusi duniani. Kibunago atakwenda Rwanda/Burundi na kuchukua askari wa General Nkunda na mapinduzi ya pili Zenji yanatimia....... Kumbe nilisema kweli kwamba kama Taifa basi bado mko kwenye NEPI.
 
Ndugu zangu wabara wenzangu, nafikiri badala ya kulichukulia hili jambo kwa jazba na kujibu kwa hamaki tuchukue muda tulitafakari hili jambo, hii ni habari nzito. Huyu ni mwakilishi wa serekali halali iliyochaguliwa na wananchi, anaomba waungane na kuwa kitu kimoja kwa ajili ya kupinga. Si jambo dogo!. Hii ni wazi kuwa upande wa pili wa muungano aidha hawaridhiki au wangependa wawe huru. Mawazo yangu ni kuwa kwa wale wenye nafasi ya kuweza kukaa na viongozi wetu wa serikali ya Muungano, wajaribu kuwashauri ili watumie busara na kuwapa nchi yao. Si vizuri kila kukicha tunaonekana kama tunawaonea wenzetu, wakati hakuna mwenye nia hiyo. Ila muwashauri wasije na siasa za kujaribu kupoza kwa kutengua baadhi ya vipengele vya sheria ili wawe na mafuta yao, au wawe na hili. Hawa wanachotaka ni nchi yao mengine yote ni sababu. Wasipopewa nchi yao kesho watakuja na lingine, WAPENI NCHI YAO JAMANIIIII!


Shedafa,

Kikwete alituambia hivyohivyo tukamwamini na kumpa kazi. Akamleta Lowassa na RA, kimeishia wapi? Mkapa tuliambiwa hivyo hivyo na JKN, katuletea EPA (wengine wanasema ni Anna Mkapa), Meremeta, Bling bling, Deepgreen nk kiliishia wapi? Mwinyi tuliambiwa hivyohivyo, ikaishia Sitti Mwinyi kutawala Tanzania, kiliishiwa wapi?
Wanasiasa ni watu wa*************** sana. Watakuja na maneno matamu sana ila hamna lolote. Hata Zenji ikijitenga, wataendelea tu kuwaliza watu. Leo nimesoma sehemu kuwa wamekomba mamilioni ya hela. Unafikiri nje ya Muungano ndiyo wataacha? Wazenji walidanganywa, sasa wanadanganywa na wataendelea kudanganywa. Kama ufisadi wa Mashangingi hadi huko upo. Wizi mtupu. Dawa ni RISASI tu kwa viongozi vibaka. Kujitenga nje ya Muungano hakutaleta lolote jipya. Unaweza kukuta Mwiba kashaahidiwa kuwa Waziri wa Fedha, Kibunago waziri wa habari, nani pale waziri wa Utalii...... Hata kama ni mie ningelipiga sana kelele, mhhh UWAZIRI MTAMU BWANA!!!!
 
Sasa Wawakilishi wameanza kupiga kelele kabla ya matokeo haya ya hii riporti kujadiliwa na serikali zote mbili?

Way foward, hii hoja itajadiliwa ktk Baraza la Mawaziri Muungano halafu hoja itapelekwa Bunge la Muungano kupikiwa kura!

Kwa hiyo itaamuliwa na bunge la Muungano...Ingawa Visiwani wapo milionni 1 ila wana wabunge 50 na bara wapo miliioni 40 wana wabunge 270 hivi!

Huo ndo UKWELI! saa ingine Visiwani hawaangalii strategies huwa wanapiga kelele tu kwanza!
 
Last edited:
Sasa Wawakilishi wameanza kupiga kelele kabla ya matokeo haya ya hii riporti kujadiliwa na serikali zote mbili?

Way foward, hii hoja itajadiliwa ktk Baraza la Mawaziri Muungano halafu hoja itapelekwa Bunge la Muungano kupikiwa kura!

Since majority ya wabunge ni Bara..basi hii hoja haina nguvu itapingwa kwa kura!

Huo ndo UKWELI! saa ingine Visiwani hawaangalii strategies huwa wanapiga kelele tu kwanza!
Ndugu yangu, sidhani kama ni busara kuangalia kama nani atashinda na nani atashindwa. Naona kuna haja ya kufikiri zaidi ya hapo, hawa jamaa waanza kulalamika siku nyingi. Kuna haja ya kusikilizwa, tusiangalie mambo kwa leo tu, kesho je?
 
Sasa Wawakilishi wameanza kupiga kelele kabla ya matokeo haya ya hii riporti kujadiliwa na serikali zote mbili?

Way foward, hii hoja itajadiliwa ktk Baraza la Mawaziri Muungano halafu hoja itapelekwa Bunge la Muungano kupikiwa kura!

Since majority ya wabunge ni Bara..basi hii hoja haina nguvu itapingwa kwa kura!

Huo ndo UKWELI! saa ingine Visiwani hawaangalii strategies huwa wanapiga kelele tu kwanza!
Kweli hiyo? Unadhani siyo wewe ndiye usiyeangalia strategy, na ndiye unayepiga makelele tu. Sawa -hoja mwisho itapelekwa Bungeni na ama Baraza la mawaziri la Muungano, au Mbunge binafsi kutoka Zanzibar au hata kama kuna mbinde basi itafikishwa rasmi na Sereikali ya Mapinduzi ya Zanzibar kulalamikia jambo linalohusu mustakabala wa Zanzibar na Muungano. Hiyo hoja inabidi ikubaliwe au ipingwe na thuluthi mbili ya wabunge wa kutoka kila upande na siyo simple majority unayoongea.
 
Nyie Wazenji acheni ushamba, Wanyamwezi nyie.
Kukaa huko msijione mmekuwa bora sana zaidi yangu niliyebaki Tabora. Mnajua nasema nini, Wamanyema nyie.
Mambo ni mawili.
1. Kama kwa faida ya Tanganyika (interest) tunaona kuwa Zanzibar lazima ishikiliwe, basi mjue hatutasita kufanya hivyo. Kwani mtatufanya nini? Jeshi hamna, Polisi hamna. Karume lazima atupapatikie sisi ili adumu madarakani. Sie kama vile hatupo vile. Uroho wa CCM kuwa madarakani, siku zote utaleta vibaraka wapya wataotaka kuwa na Muungano. Kama tutaona kuwa Muungano ukifa basi Pemba na Unguja watazichapa na tanganyika ianze kupata wakimbizi kutoka kwenu, basi hata kama ni mie ntashikilia muungano kwa nguvu. Mtake msitake, mtalia hadi msage mawe na hakuna atakayewasikiliza. Mtu akipiga makelele ni kumwambia CIA na FBI kuwa ni AL-Qaid hao....

2. Cha pili ni hiki kwamba kama Muungano unatutia hasara na watu wasio na shukurani, hamna manufaa yoyote kwetu, basi Tanganyika ni jina poa sana. Tutakuacheni na visiwa vyenu ila kwa masharti kuwa tutatake control ya ulizni kwa muda ili watoto wajue kuvaa nguo za kujitegemea. Na mwisho wa mwezi mnawekewa bill ya ghalama za ulinzi mezani na maadamu mtakuwa na mafuta (kama yapo hi hiiiii, tamaa mbele..) basi mtalipa na Sultani wa Mwiba itabidi aanze kutulilia ili tumsaidie.

Hivyo hamna haja ya kutumia nguvu sana. Kumbukeni kifungu cha kwanza ndicho kina nguvu sana. Heri nyie msote kuliko sisi tusote. Mpende jirani kama kama nafsi yako na si Mpende jirani yako kuliko nafsi yako. Narudia tena kuwa kama kuna mtu wa kusota basi atakuwa ni nyie na si sis Watanganyika. Ukweli unauma ila HABARI NDIYO HIYO!!


???????????????????? fyo..................!!!!!!!!!!!!!
 
Hata Congo. Nigeria wana mafuta na ni matajiri sana dunia hii kama mabavyo mtakuwa nyie mkipata mafuta.

Ndugu zenu wakirudi kutoka Kigoma na Mbeya na pia wale wa Dar, basi Dar es Salaam tutaanza kupumua maana watu wengi sana kamji kale. Nyumba zaitakuwa kibao, umeme utatosha, maji pia. Foleni za magari barabarani pia zitapungua. Na wake zetu wananusurika kutoka katika vitanda vya Wapemba walaghai.
Tarime kuna Madini ndiyo maana mnaona vile. Ni kama Congo mashariki. Si lazima kuwe na mafuta tu ndiyo watu wauwane.

Ehh, unauliza kwa nini mnataka ulinzi? Yaani mnataka kuchimba mafuta na hamna ulinzi wa kueleweka? Duu, mbona itakuwa safi sana. Itatosha tu Rostam Azizi na Lowassa waje Zenji, wampe kwa mfano tuseme Kibunago visenti kidogo na wanajeshi, basi tayari kashapindua nchi. Hebu angalieni picha moja liitwalo INTERNATIONAL ambalo kacheza Clive Owen na Naomi Watts mtajua nina maana gani. Nyie watu naona hamjui lolote kuhusu ujasusi duniani. Kibunago atakwenda Rwanda/Burundi na kuchukua askari wa General Nkunda na mapinduzi ya pili Zenji yanatimia....... Kumbe nilisema kweli kwamba kama Taifa basi bado mko kwenye NEPI.

Unanichekesha!!! Ivo hiyo unayoiita International ifanyike jeshi lipi hili letu la kupigana na wangazija wasio na silaha? Wacha kuleta Illussions. Tunashindwa kuzuia meli zinazoiba samaki mtaweza hayo mengine.
Ya nini kuandikia mate ikiwa mafuta ni yetu, ikiwa kupigana tutapigana sisi, ikiwa wakimbizi itakuwa hiari yenu kuwapokea au la kubwa tunalotaka ni kuwa na uhuru wa kutumia chetu tupendavyo. Na hili tumejifunza kutoka kwenu kuwa kila mtu anatumia alichojaaliwa na Mola.
 
Shedafa,

Kikwete alituambia hivyohivyo tukamwamini na kumpa kazi. Akamleta Lowassa na RA, kimeishia wapi? Mkapa tuliambiwa hivyo hivyo na JKN, katuletea EPA (wengine wanasema ni Anna Mkapa), Meremeta, Bling bling, Deepgreen nk kiliishia wapi? Mwinyi tuliambiwa hivyohivyo, ikaishia Sitti Mwinyi kutawala Tanzania, kiliishiwa wapi?
Wanasiasa ni watu wa*************** sana. Watakuja na maneno matamu sana ila hamna lolote. Hata Zenji ikijitenga, wataendelea tu kuwaliza watu. Leo nimesoma sehemu kuwa wamekomba mamilioni ya hela. Unafikiri nje ya Muungano ndiyo wataacha? Wazenji walidanganywa, sasa wanadanganywa na wataendelea kudanganywa. Kama ufisadi wa Mashangingi hadi huko upo. Wizi mtupu. Dawa ni RISASI tu kwa viongozi vibaka. Kujitenga nje ya Muungano hakutaleta lolote jipya. Unaweza kukuta Mwiba kashaahidiwa kuwa Waziri wa Fedha, Kibunago waziri wa habari, nani pale waziri wa Utalii...... Hata kama ni mie ningelipiga sana kelele, mhhh UWAZIRI MTAMU BWANA!!!!


Msururu wa maovu yote uliyoyataja yapo na yataendelea kuwapo lakini kuwapo kwa mambo hayo sijasikia nchi ikawa si nchi. Ufisadi upo hata kwa nchi tajiri lakini haifuti uhuru wa nchi. Sasa wizi na ufisadi ulioko Bara ukijumuishwa na ule mdogo mdogo wa Zanzibar hali itakuwa vipi? Halafu hili suala la Ufisadi nyie mnaagiza jeshi kutoka wapi kupambana nao? Kama ni nyinyi wenyewe ndio mnaopambana na Afissadi wenu basi na Wazanzibari wenyewe watapambana na hayo maovu yalioko. Laiti ungeniambia kuwa nyie mmeshayamaliza ya huko basi tungesema Wazanzibari wangehitaji msaada kutoka kwenu kuuondosha ufisadi, ubinafsi na tamaa za kujilimbikizia mali.
 
Sasa Wawakilishi wameanza kupiga kelele kabla ya matokeo haya ya hii riporti kujadiliwa na serikali zote mbili?

Way foward, hii hoja itajadiliwa ktk Baraza la Mawaziri Muungano halafu hoja itapelekwa Bunge la Muungano kupikiwa kura!

Since majority ya wabunge ni Bara..basi hii hoja haina nguvu itapingwa kwa kura!

Huo ndo UKWELI! saa ingine Visiwani hawaangalii strategies huwa wanapiga kelele tu kwanza!


Kabla hujenda mbali kwanza fanya Homework juu ya utaratibu wa kupitishwa rekebisho la kipengele cha Muungano.
 
Ya nini kuandikia mate ikiwa mafuta ni yetu, ikiwa kupigana tutapigana sisi, ikiwa wakimbizi itakuwa hiari yenu kuwapokea au la kubwa tunalotaka ni kuwa na uhuru wa kutumia chetu tupendavyo. Na hili tumejifunza kutoka kwenu kuwa kila mtu anatumia alichojaaliwa na Mola.

Unaona?
Unataka kuandikia wino siyo? Kumbuka wino haufutiki.
Nyie mna hamu ya kuongoza hata kama Zenji watabaki familia 100. Huo upuuzi ndiyo maana twasema kuwa hatuwezi kuuruhusu. Nimekuambia yale mashari mawili. Kama kwa interest zetu muungano inabidi uwepo, basi nyie mlie tu kwani mtatufanya nini? Mkileta ubishi tunawatuma Wakurya wanakubonda vizuri tu zaidi ya alivyofanya Mkapa. Kama Muungano unatutia hasara basi siku moja mtalundikiwa mchanga wenu na sisi tuseme kama Museveni kuwa :Haya sasa ngoja tufe maana hamna Tanzania: Na nyie Zenji mbona hamsemi kama yule mtoto mapepe "nilichopewa na Mungu kumyima Mtanganyika dhambi" Inabidi Mpepewe.......
 
Hawa wazenj waachieni hayo mafuta yao; lakini itabidi walipe madeni yote ya umeme na pia itabidi wajilipie mambo ya ulinzi; tuone kama watagangamara!! Hawa jamaa wanajifanya wako pamoja kwenye mambo haya ya mafuta lakini hawajui kuwa hayo mafuta wanayopigia alinacha yanaweza kuwa ndio laana yao wakachinjana kama kuku!!

itabidi turudi nyuma katika kulipana harama kubwa walitowa wazenj wakati wa vita vya idi amini na TANGANYIKA kutoka mali hadi roho za watu wao na pale ndipo uchumi na hali ya maisha kwa wazenj ilipo anza kwenda songo mbingo silaha za harama kubwa ambazo kwa wakati ule zilikuwa ni zawazanzibar kutokea misail na vifaru vya kileo kwa wakati ule kumbukumbu zipo kwa wauzaji warusi na majeshi ambao hadi leo wapo na ile misail bado ipo kama inafanya kazi kule bara eo imekuwa yenu malipo yalilipwa na serekali ya ZANZIBAR pesa zilizokuwa zinatokana na jasho la wananchi la zao lakarafuu kwa wakati ule
 
Ndugu zangu wabara wenzangu, nafikiri badala ya kulichukulia hili jambo kwa jazba na kujibu kwa hamaki tuchukue muda tulitafakari hili jambo, hii ni habari nzito. Huyu ni mwakilishi wa serekali halali iliyochaguliwa na wananchi, anaomba waungane na kuwa kitu kimoja kwa ajili ya kupinga. Si jambo dogo!. Hii ni wazi kuwa upande wa pili wa muungano aidha hawaridhiki au wangependa wawe huru. Mawazo yangu ni kuwa kwa wale wenye nafasi ya kuweza kukaa na viongozi wetu wa serikali ya Muungano, wajaribu kuwashauri ili watumie busara na kuwapa nchi yao. Si vizuri kila kukicha tunaonekana kama tunawaonea wenzetu, wakati hakuna mwenye nia hiyo. Ila muwashauri wasije na siasa za kujaribu kupoza kwa kutengua baadhi ya vipengele vya sheria ili wawe na mafuta yao, au wawe na hili. Hawa wanachotaka ni nchi yao mengine yote ni sababu. Wasipopewa nchi yao kesho watakuja na lingine, WAPENI NCHI YAO JAMANIIIII!

Yote haya yasingekuwepo bali wakulaumiwa ni JK aliyedanganya kuwa matatizo ya Mungano atayapa kipaumbele kumbe maneno yale ilikuwa halua nje ndani kaweka nyongo na ilikuja dhihirisha pale CCM iliposhindwa kuweka muafaka (siasa) kama walivyokubaliana na CUF na yeye JK kukaa kimya, Kifuatacho wamezua hii ajenda ya mafuta (uchumi)ambayo wanaungana pamoja je? siasa=Uchumi? au Uchumi=siasa? au Siasa + uchumi=Muungano or Uchumi-siasa=Muungano? au Siasa-Uchumi=Muungano? kazi kwake lakini lazima hapo baadaye atatoa majibu au wanainchi watajibu tu, hiyo ni DECI DECI ya JK
 
Hata Congo. Nigeria wana mafuta na ni matajiri sana dunia hii kama mabavyo mtakuwa nyie mkipata mafuta.

Ndugu zenu wakirudi kutoka Kigoma na Mbeya na pia wale wa Dar, basi Dar es Salaam tutaanza kupumua maana watu wengi sana kamji kale. Nyumba zaitakuwa kibao, umeme utatosha, maji pia. Foleni za magari barabarani pia zitapungua. Na wake zetu wananusurika kutoka katika vitanda vya Wapemba walaghai.
Tarime kuna Madini ndiyo maana mnaona vile. Ni kama Congo mashariki. Si lazima kuwe na mafuta tu ndiyo watu wauwane.

Ehh, unauliza kwa nini mnataka ulinzi? Yaani mnataka kuchimba mafuta na hamna ulinzi wa kueleweka? Duu, mbona itakuwa safi sana. Itatosha tu Rostam Azizi na Lowassa waje Zenji, wampe kwa mfano tuseme Kibunago visenti kidogo na wanajeshi, basi tayari kashapindua nchi. Hebu angalieni picha moja liitwalo INTERNATIONAL ambalo kacheza Clive Owen na Naomi Watts mtajua nina maana gani. Nyie watu naona hamjui lolote kuhusu ujasusi duniani. Kibunago atakwenda Rwanda/Burundi na kuchukua askari wa General Nkunda na mapinduzi ya pili Zenji yanatimia....... Kumbe nilisema kweli kwamba kama Taifa basi bado mko kwenye NEPI.
Usipindishe mada hapa...! Subiri kidogo taratibu za kupitisha uwamuzi na maazimio zikamilike. Hapo ndio utajua wazenj ni watu wa namna gani..!
 
Usipindishe mada hapa...! Subiri kidogo taratibu za kupitisha uwamuzi na maazimio zikamilike. Hapo ndio utajua wazenj ni watu wa namna gani..!
Ni vyema akasubiri huyo. Lakini kwa mafuta ni ya watoto wetu Bwana. Halina mjadala hilo.
 
tatizo hamtaki sasa wanafanya wanavyo juwa wao. kumbuka historia mwaka 1964 wazungu waliwabania kwa kuwapendelea wamanga nini kilitoke?
 
Back
Top Bottom