Wawakilishi Pekee Michuano ya Vilabu Barani Afrika

Amavubi

JF-Expert Member
Dec 9, 2010
30,146
13,216

Tukio hili lilifanyika wakati wa uzinduzi wa SIMBA TV ikiwa ni saa chache kabla ya kuivaa Kiovu...bila shaka mliona jinsi timu ilivyochoka kipindi cha pili......namuangalia Maftah tayari keshapendeza...na ndiye alikuwa uchochoro siku hiyo.........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…