Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Mar 5, 2012 #1 Tukio hili lilifanyika wakati wa uzinduzi wa SIMBA TV ikiwa ni saa chache kabla ya kuivaa Kiovu...bila shaka mliona jinsi timu ilivyochoka kipindi cha pili......namuangalia Maftah tayari keshapendeza...na ndiye alikuwa uchochoro siku hiyo.........
Tukio hili lilifanyika wakati wa uzinduzi wa SIMBA TV ikiwa ni saa chache kabla ya kuivaa Kiovu...bila shaka mliona jinsi timu ilivyochoka kipindi cha pili......namuangalia Maftah tayari keshapendeza...na ndiye alikuwa uchochoro siku hiyo.........
Amavubi JF-Expert Member Dec 9, 2010 30,146 13,216 Mar 5, 2012 Thread starter #2 Hata Batez network haipo tena hapo
eddiom Member Oct 4, 2010 57 15 Mar 6, 2012 #3 pombe na mpira haviendi pamoja ndio maana wanasimba walitamani siku ile refa apulize kipenga cha mwisho dakika ya 70
pombe na mpira haviendi pamoja ndio maana wanasimba walitamani siku ile refa apulize kipenga cha mwisho dakika ya 70
Emanuel Makofia JF-Expert Member Jan 5, 2010 3,832 630 Mar 6, 2012 #4 hatari kweli kweli kwa afya na akili!!:canada: