Chui mnyama
Member
- Apr 2, 2017
- 67
- 33
Wadau ninamzigo wangu wa desktop, photocopy machine, printer vyote vipya na pia vyombo used kama vile flampeni, masufuria, juicer, pasi za umeme na masiki ya toilet na vingine vingi nataka kutoa mzigo kwa bei ya mteja so natafuta wenye wanauzaga vifaa used waje tuyajenge ama kama na wewe unataka kimoja wapo njoo tuyajenge mzigo wenyewe ni huu: View attachment 1203522View attachment 1203523View attachment 1203525View attachment 1203526View attachment 1203527View attachment 1203528View attachment 1203531View attachment 1203532View attachment 1203536View attachment 1203537View attachment 1203538View attachment 1203540View attachment 1203541View attachment 1203542View attachment 1203543
Taja aina nikupe bei nazitoa kwa mafungu kama nilivyozitumahizo ukitaka uza retail tu fasta watakuja, mimi nataka sufuria bei gani?
0765873325Hiyo ya kenwood ya kukandia unga bei gani
Hapana mkuu. Usiwe na wasiPangilia hayo masufuria kila aina ya set na bei yake.
Hayajawahi kupikiwa yule mdudu lkn?
0765873325 njoo tuongeeMbona hakuna mawasiliano tutakufutaje sasa kwa mfano?
Dar Mbezi beach BOTLocation
Njoo in box mkuu nikuachie hiyo mashine ya mazoezi kwa bei yakoDesktop na kifaa cha mazoezi beigani.
Sinabei ndugu njoo na bei yake ako uchumueHizo frying pans bei gani, nashauri uweke bei ya kila bidhaa ili anayeridhika nazo anakucheki sasa kwenye simu for more negotiations
Anasema eti hana bei, sijui mwenzetu kapewa bure huko alikozipata,Hivi wabongo wanajifunza lini kuweka bei?
weka bei hadharani watu waje inbox wakiwa wamejipanga