Wauza smartphone tukutane hapa

Wauza smartphone tukutane hapa

UNAONA UNAVYOHANGAIKA KUNUNUA BANDO KILA SIKU? WI-FI ROUTER ZA TIGO NDO KITU PEKEEE KINGEKUSAIDIA


Kua na wi-fi router kuna faida nyingi sana, kama unajiweza kidogo, jitahidi usikose kifaa hiki.


1. Ukiwa na wi-fi unaweza kukuza biashara yako. kwasababu wateja watapenda kuja ofisin kwako wakijua kuna wi-fi, pia wewe utakua huru kupost biashara zako mtandaoni ukiwa hauhofii kuishiwa bando.





2. Kuokoa gharama za bando. Ukweli ni kua bando za kawaida zinaumiza sana mana ukipiga hesabu ya gb 1 kwa 2100 kama kwa siku unatumia gb 1 basi kwa mwezi unatumia 63000. Zidisha kwa watu wote mliopo kwenye ofisi, taasisi au nyumbani kwenye familia yako na majirani, utakuta hela ni kubwa sana mnayotumia. Kukata hizo cost zote mngechukua wi-fi router ya tigo mana inaunganisha hadi watu 64, yani watu 64 wote mnatumia bando unlimited





3. Wi-fi router za tigo zina speed kubwa na zina technology ya 5G pia hazisumbui au kukata katikati ya mwezi, speed kuanzia 20mbps hadi 200mbps hivyo utakua na stable internet connection mda wote.





4. Kifaa ni portable yani kinabebeka kirahisi unaweza kuhamisha, mfano kutoka ofisini kwenda nyumbani kwenye gari unaweza kutembea nacho huku wi-fi ikiwa inafanya kazi. Pia kifaa kinasambaza wi-fi eneo kubwa, zaidi ya mita mia.





UTARATIBU WA MALIPO MARA YA KWANZA.
Mara ya kwanza unalipia kiasi cha sh.250,000, kiasi hicho ni kwaajili ya kupatiwa kifaa(router) pamoja na bando unlimited lenye speed ya Mbps 100. Pia utapewa offer mwezi unaofuata hautalipia, kwahiyo ukishatoa hiyo 250000 miezi miwili yote utatumia wi-fi router yako bila kulipia, utaanza kulipia mwezi wa tatu na kuendelea. Pia kuna router ndogo za 130,000 bando lake ni unlimited pia. Ukitaka unlimited bando kwenye lain yako tu utumie bila wifi router ni laki moja kwa miez 3


UTARATIBU WA KULIPIA KILA MWEZI MARA YA PILI NA KUENDELEA!


Uzuri wa huduma hii ni kua unaweza kulipia kidogo kidogo kila mwezi hadi umalize, kikubwa ndani ya mwezi ukamilishe kulipia 100k


KUFIKISHIWA KIFAA(DELIVERY)
ukishafanya malipo kupitia menu ya mix by yas, utaniambia sehem ulipo popote Tanzania utatumiwa kifaa bila kutoa gharama za usafiri yani free delivery. Hutajuta kujiunga na huduma hii.


Mawasiliano: 0717700921
 
Samsung note 20 ultra
Njombe ,nauza kwa hasara ya laki3.5
Imetumika mwezi tuu ,nina shida shambani
 

Attachments

  • 1752061049351.jpg
    1752061049351.jpg
    290 KB · Views: 27
  • 1752061052918.jpg
    1752061052918.jpg
    377.3 KB · Views: 26
  • 1752061065685.jpg
    1752061065685.jpg
    310.4 KB · Views: 21
Kati ya aquos sense 7 plus na samsung a32 nichukue ipi waungwana. Ushauri tafadhari.
 
Nokia c32 inauzwa 180000 tu haijatumika sana naiuza kwa sababu ya shida tu...ñicheki 0627474141 nipo ilala dar es salaam gb 64 ram 4 camera 50mp
 

Attachments

  • Screenshot_20250712-182911.png
    Screenshot_20250712-182911.png
    185.2 KB · Views: 28
  • Nokia-C32-back-768x576.jpg
    Nokia-C32-back-768x576.jpg
    48.9 KB · Views: 28
  • Nokia-C32-Front-768x1024.jpg
    Nokia-C32-Front-768x1024.jpg
    104 KB · Views: 24
Samsung Galaxy A10
⚙️ 32Gb
Tsh 115,000/=
📍ARUSHA TOWN
☎️0712350159
 

Attachments

  • SGCAM_20250729_185115936.NIGHT.jpg
    SGCAM_20250729_185115936.NIGHT.jpg
    391.3 KB · Views: 26
  • SGCAM_20250729_185130950.NIGHT.jpg
    SGCAM_20250729_185130950.NIGHT.jpg
    554.8 KB · Views: 26
  • SGCAM_20250729_185018032.NIGHT.jpg
    SGCAM_20250729_185018032.NIGHT.jpg
    522.9 KB · Views: 23
Table Phone holder
🛠️ Ni ya Chuma
Tsh 15,000/=
☎️ 0712350159
📍ARUSHA TOWN
 

Attachments

  • SGCAM_20250729_184955722.NIGHT.jpg
    SGCAM_20250729_184955722.NIGHT.jpg
    417.5 KB · Views: 29
  • IMG-20250728-WA0024.jpg
    IMG-20250728-WA0024.jpg
    318.3 KB · Views: 22
  • IMG-20250728-WA0028.jpg
    IMG-20250728-WA0028.jpg
    348.8 KB · Views: 18
  • IMG-20250728-WA0013.jpg
    IMG-20250728-WA0013.jpg
    453.6 KB · Views: 22
  • IMG-20250728-WA0032.jpg
    IMG-20250728-WA0032.jpg
    466.3 KB · Views: 23
Back
Top Bottom