reyzzap
JF-Expert Member
- Oct 3, 2014
- 6,653
- 20,966
Boss usimfanyie hivi huyu ndugu yetu asee...600,000 boss
Note 5 simu ya mwaka 2015(miaka mitano nyuma) unataka umuuzie kwa 600k?
Kwanza najua piga ua HAIWEZI kua brand new sealed..
Ni either refub, used/carrier unlocked.
M najua wewe ni mfanyabiasha na unajua kbsa kwa nusu ya hio hela anapata hio simu,
ngoja niamini ya kua ulitaka kumpima km biashara za kibongo zilivyoo...
ila umeanzia mbali sanaa kaka...
600k ni bei ya S8+ town...
Nayo brand new sealed HUPATI.
Unielewe...
Sina nia ya kukuharibia biashara ni katika nia ya kusaidiana.
Sent using Jamii Forums mobile app