NDUKI
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 3,423
- 2,414
Sasa hiz ambazo ni za kweli ntazipata wapi mana kuna ufaham nataka nijitoe ndy mana naulizia kabla ya.....hlf na bei yake mana hiyo niliyopost S9 plus wanauza 1.45M na wengn nimechek wanauza 1.35M
Mkuu vipi ulifanikiwa kupata s9+ kwa bei gani inasimama kwa sasa...?