Wakuu nauza tablet aina ya samsung galaxy note 10.1, ina internal memory ya 32 gb na ram yake ni 2gb, ukubwa wake ni inchi 10.1. Ina flash camera na inatumia line za kawaida kupiga na kupokea simu kama kawaida. Haina tatizo LOLOTE wala crack ya aina YOYOTE. Nipo dsm, bei ni tsh 700,000 tu. Namba yangu ni 0713-92 59 08. Karibuni sana