Nineziona Zanzibar hizi simu, maduka ya Zanzibar mengi tu yapo ya hizi simu za zamani kama una mtu Zenji akusaidie kuchukuaView attachment 1078722
Nokia Xpress music 5310
View attachment 1078725
Nokia E61i
View attachment 1078728
Blackberry Torch 9800
Wana JF natafuta hizi simu kwa mwenye nayo/nazo na zinafanya kazi please let's do business
Natafta s7 edge ya gold.
Nipigie 0716119347
Iwe nzima na bei nzuri nalipia hata saivi .
Nipo sinza mori.
Mkuu unaleta utani wwipo ya kawaida, sio edge
S7 ya gold
imetumika mwezi mmoja
Karibu na Mlimani City
550,000/=
S7 edge mpya nauza 550000tsh
Mimi ni muuza simu.unauza ama unanunua? umetoa tangazo la kununua, unauzaje wakati huna? yani ununue hapa hapa ugeuke utupige hapa hapa? be serious!
S7 zangu ni 100% authentic product
ikishuka mwisho 500,000/=
Bei ganiKuna Oppo A7
64gb
3gb RAM
4230MaH
Glazing Blue color
Very Clean
Njoo na Budget yako
0744474683
Location Dodoma
Sent using Jamii Forums mobile app
550kBei gani
Iko 'hapa' wapi...?6s, 64GB ipo hapa. Used 3months. 475k
Natafuta icloud ya iphone 6 kama ipo 0656295054