Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,845
- 52,251
Mkuu usiwe mbishi mimi mwenyewe kuna ballo nimetafuta kule kwa wahindi nimekosaKila mtu ana aina ya biashara ya aina yake mwingine anahitaji nguo za watoto, mwingine za kiume mwingine za kike, ninapomwambia mtu njoo whatsapp ni tuweze kuulizana maswali yote hayo, hapa tutajaza uzi na km ukiangalia majibu kuna niloyemjibu bei ni kuanzia 650,000 kuja chini. kila aina ya nguo na bei yake, Nadhani nimeeleweka.
Nimetamani kulipata kwako ila kwa majibu ya kwenda whatsap mmmh haya kila la kheri.