Wauza laptop tukutane hapa

Wauza laptop tukutane hapa

Unauzaje, na ziko wapi? Mpya au used?
Ni used naziuza kwa laki moja unusu tu...ukihitaji nyingi bei inapungua
NB//:zipo kwenye hali nzuri tu kama mpya na betri zake ni mpya kabisa.
Napatikana Dar es Salaam na kwa wale wa mikoani natuma kwa njia utayoipendekeza wewe mteja.
 
Ni used naziuza kwa laki moja unusu tu...ukihitaji nyingi bei inapungua
NB//:zipo kwenye hali nzuri tu kama mpya na betri zake ni mpya kabisa.
Napatikana Dar es Salaam na kwa wale wa mikoani natuma kwa njia utayoipendekeza wewe mteja.
Naweza tumia ktk tv set yangu?
 
Naweza tumia ktk tv set yangu?
Unaweza kama ina watts 700 kushuka chini kwa kuwa hizo UPS ni za uwezo huo tofauti na hapo utaitumia kama umeme upo tu.
Ichunguze TV yako kwanza mkuu.
 
Unaweza kama ina watts 700 kushuka chini kwa kuwa hizo UPS ni za uwezo huo tofauti na hapo utaitumia kama umeme upo tu.
Ichunguze TV yako kwanza mkuu.
Flat screen hazifiki hata watt 100.
 
nunua laptop yako ,,,itumie kwa kazi zako lakini ikianza kuleta usumbufu/ikiharibika ,,,nitafute mm
pia utapata accessories zote za laptop kwa bei nafuu zaidi
ram,ac powera adapter, hard disk drive, screen/display
g-power it solution +255 713 756 980

karibuni sana
Naweza kupata screen ya ndani ya mac book pro with retina dsiplay inch 13 , kwa nje hakuna scratch ila imetoa michirizi kwa ndani ya screen ya njano njano hivi.
 
Naweza kupata screen ya ndani ya mac book pro with retina dsiplay inch 13 , kwa nje hakuna scratch ila imetoa michirizi kwa ndani ya screen ya njano njano hivi.
Unapata mkuu kwa laki mbili tu pamoja na gharama za kufungu.
Karibu sana
 
Jaman mm natafta laptop yoyote ambayo n touch screen alaf iwe slim. Kama ipo chek me 0765024294
Jaman mm natafta laptop yoyote ambayo n touch screen alaf iwe slim. Kama ipo chek me 0765024294
Mi niko na Hp elitebook 2760p, touch screen, sim card kw net unatumia, webcam, 4g ram, i5, kioo kinarotet na unewez kuifany km tablet, betry iko poa, inch 13, hdd 320. Unatumia pen kwkutach ila pen yak imenipotea, bei 480,000 bt ninay mm na nik nje so natarajia kuituma tz 05.06.2017 itakuw imefik, km unaihitaj ni pm.
 
a5d508add4b01da3ef482bdae9f15c48.jpg
571c452b4c5cab7fcd77f9ba4175f748.jpg
. Kwa mwenye uhitaji wa laptop na computer wadau za mtumba whatspp Namba 0675333207 nipo dar
 
RAM 4GB
HDD 500G
imenunuliwa mwezi wa pili ni bado mpya kabisa.
bei 415,000/= (bei ya dukani 600,000)


Napatikana DSM

18578632_10211979992828717_603431843_n.jpg
18579292_10211979992388706_1784445572_n.jpg
18579011_10211979992228702_1559262855_n.jpg
18579011_10211979992228702_1559262855_n.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom