Waungwana huu ni mtego au nile dundo tu?

Waungwana huu ni mtego au nile dundo tu?

Sembeta jr

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
805
Reaction score
367
Nina rafiki yangu niliwahi kukaa nae hapa kwangu sasa alishahama muda tu sasa ana goma lake limeshakujaga hapa maqa kadhaa.

Sasa muda si mrefu kaja kama amelewa ivi na mvua inanyesha kaja kalowa sana, ananambia shem na mvua hii mi nalala hapa hapa kabla sijamjibu kaanza kuvua nguo zilizolowa kazikamua kaanika sijakaa sawa kajirusha kitandani hapa ninavyoandika mi nipo nje nashindwa chakufanya.

Nimemwambia sasa shem tutalalaje nami nakitanda kimoja tu kanambia tulale hivo hivo.

Nimempigia simu swahiba simpati.

Naombeni ushauri wa fasta waungwana ukizingatia mi namaugwadu yangu hapa kitambo si mtihan huu.
 
kwamba mi navigonela vyangu hapa asa nikimtafuna ntakuwa nimekosa kweli? au nimwache nkalale zangu mbele?
 
Yani Hata Mimi Pia Nimechanganyikiwa Hata Sijui Nikupe Ushauri Gani.
 
Nina rafik yangu niliwahi kukaa nae hapa kwangu sasa alishahama muda tu sasa ana goma lake limeshakujaga hapa maqa kadhaa, sasa muda si mrefu kaja kama amelewa ivi na mvua inanyesha kaja kalowa sana, ananambia shem na mvua hii mi nalala hapa hapa kabla sijamjibu kaanza kuvua nguo zilizolowa kazikamua kaanika sijakaa sawa kajirusha kitandani hapa ninavyoandika mi nipo nje nashindwa chakufanya. . . . nimemwambia sasa shem tutalalaje nami nakitanda kimoja tu kanambia tulale ivo ivo. . . nimempigia simu swahiba simpati . . . . naomben ushauri wa fasta waungwana ukizingatia mi namaugwadu yangu hapa kitambo si mtihan huu. . .

we feki
 
Back
Top Bottom