...Dhambi ya UBAGUZI, Dhambi ya UBAGUZI, WaTanzania wenzngu Dhambi ya UBAGUZI .....!!!
Kama si kesho, keshokutwa WaTanzania tutaanza kusikia 'Mataifa' ya ajabu ajabu ndani ya mipaka yetu kama vile:
1. Jamhuri ya Watu wa Pemba Kaskazini;
2. Muungano wa Ukoo wa Shirazi Chake Chake Kusini;
... nasema DHAMBI YA UBAGUZI wa aina yoyote ile ... WaTanzania, DHAMBI YA UBAGUZI!!!
Viongozi wetu wa Dini za Kikristo,
Kaeni mbali kabisa tena kimya kama maji mtungini KUTOKUJIBU UCHOKOZI WA DHAHIRI kule kwa ndugu zetu Tanzania Visiwani.
Kama serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania haiwezi kulinda Wakristo na Ukristo wetu Visiwani basi wanatukosea kikatiba maana walikula kiapo juu ya hili.
Wapemba watarudije kwao Pemba,Wakati raisi wa ZNZ Shein ni Mpemba,makamu wake Maalimu Seif vile vile ni Mpemba,na hao Woote mliwachagua kwa kula nyingi, sasa mbona mnanichanganya jamani!!!!Ninawasiwasi na hicho kipeperushi
kuitafuta haki kuna gharama zake ndugu zangu, yatasemwa mengi sana ya uzushi ili kudhoofisha nguvu. waswahili husema ''UKITAKA KUONEKANA MBAYA DAI CHAKO''
Hicho kipeperushi mbona kama kimeandikwa na mtu ambaye shule ilikua kituo cha polisi, halafu imejaa gadhabu mno!
..kwa taarifa yako hata huku bara hatuutaki huo muungano, naona kama wazanzibar,wapemba mnachelewesha mchakato wenu wa kujitenga, ila kwa hatua yenu yoyote msiguse nyumba za ibada, rudini kwenu ili mjipange vzr.Huu waraka kwa asilimia 100 haujaandikwa na UAMSHO bali umeandikwa na serikali ikishirikiana na ccm ili kuwagawa wanachi wa zanzibar katika jitihada zao za kuupinga muungano. Mimi niko Unguja na hakuna hata mkazi hata mmoja wa unguja anayeupenda muungano wao huu wa kinyonyaji.
Hivi MPEMBA na M-UNGUJA ntawatofautishaje? Maana Bibi zetu wa huku Bara walibakwa na waarabu
Mm natoa shuume wote wafukuzwe huku bara watu gani wabaguzi wakubwa wanawaita wenzao Punda hapandi Muscat watoke kote Namanga, Kariakoo Bungeni, Wizarani hata na
Leo utataja majina yote ya wana UAMUSHO lakini sisi hatujali na mtajua wenyewe....hili mmeshalikoroga na lazima
mlinywe! Wabara kama wamarekani'huwa hatukurupuki kama nyinyi...Sasa tumewatupieni scud hilo kwanza...mkilitegua
hilo tunawatupieni na jingine, sasa tuone kama kutakalika kwenye hako kanchi. Chezea wabara wewe