Pole sana
naomba nichangie hiyo sehemu ya mwisho;
Naomba kujua kama aliyemsaidia Dereva alikuwa na leseni HALALI ya kuendesha gari husika kwani hicho ni kigezo muhimu sana kwa ajili ya Bima/Insurance kama gari litapata shida.
Isijekuwa anaendesha/sogeza lori la Milioni 700 huku hana leseni...