Johnson Fundi
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 1,393
- 1,216
hata kama ana leseni, najua kuna utaratibu wa kiofisi wa kufuata inapotokea kadhia kama hiyo. hilo ni kosa moja kwa moja, ispokuwa adhabu iliyotolewa ndiyo ina mushkheliPole sana
naomba nichangie hiyo sehemu ya mwisho;
Naomba kujua kama aliyemsaidia Dereva alikuwa na leseni HALALI ya kuendesha gari husika hicho kigezo ni muhimu sana kwa ajili ya Bima/Insurance.
Isijekuwa anaendesha/sogeza lori la Milioni 700 huku hana leseni...
duuuh, inaonekana unajua mengi, kumbe YAPI MERKEZI alipewa kazi kifisadi??!!??, hebu nikumbushe makampuni yaliyoshindana katika kupata tenda hiiHawaibi wanachukua kilicho halali kwao. Umejiuliza hao waliopewa miradi wamepewa kifisadi na mafisadi kupitia kodi zetu. Sasa wakichukua walau kidogo ni kama wameshare. Mnalaamu sana vidagaa.
Mkuu hao jamaa wanatoa jicho? Kambi yao iko wapi?Wanaliwa vya kutosha, dawa ni kuungana na wale wanaowainamisha.
Fambaf rafiki😂Hawaibi wanachukua kilicho halali kwao. Umejiuliza hao waliopewa miradi wamepewa kifisadi na mafisadi kupitia kodi zetu. Sasa wakichukua walau kidogo ni kama wameshare. Mnalaamu sana vidagaa.
Hatuwezi jiongozaHiyo ni kweli kabisa. Yaani creativity, innovation yote ipo kwenye namna ya kuiba.
Kama watu wangetumia akili vizuri with ethics miaka 60 ya uhuru tungekuwa mbali sana. Waangalie Korea Kusini, Vietnam wamejitransform from dependent to donor country
Wamefanya niniKwani Kibanga aliendaga wapi baada ya kumpiga mkoloni?angetusaidia kupambana na waturuki
Unawapenda eeh?Wamefanya nini
Mmoja anatakiwa afuliwe haswa iwe mfanoSio wakatili ni nyie ndio hamjui haki zenu na uoga wa maisha ilitakiwa mnatoa mfano kwa mmoja tu wangeambizana chap kwamba huku tulipo ni pamoto na wangewaheshimu..
Unakuwaje mnyonge nchi uliyozaliwa je ukienda huko nje si ndo utashikwa na tarcccooo kabisa..
Kwenye niniUnawapenda eeh?
Sekta zoteKwenye nini
Labda kwenye uchapakaziSekta zote
ok,sio mbayaLabda kwenye uchapakazi
Waziri mhusika anasemaje?Kiukweli baada ya uvumilivu wa Muda mrefu nimeona bora kusema tu kweli kuhusu hawa waturuki wanaojenga SGR, sitaki kubase sana kwenye efficiency yao ya kazi ila nataka niweke wazi kwenye swala la socialization na sisi watanzania.
Wamekua ni watu wakatili na wakorofi sana inapokuja kwenye swala la haki ya mfanyakazi wanawapiga ndugu zetu site bila sababu na endapo ukajaribu kujibu mashambulizi wanakufukuza kazi.
Hivi majuzi nimeshuhudia mtu amefukuzwa kisa tu amekutwa amemsaidia dereva gari baada ya dereva kuumwa ghafla wakiwa site .
Alikuja Mbunge wa kilosa akasema tuwasamehe 😇, yakaisha ila kiukweli ngoma bado nzitoWaziri mhusika anasemaje?
sasa hapa unakosea, inawezekana bado unategemea ugali wa mama ukiwa mkubwa utaelewa tunamaanisha nini kiongosAhhh ujanja ujanja tu wabongo.kwa hiyo kama unaumwa unampa mwenzio gari la kampun.Hilo ni kosa.acheni ujinga.mmekaa kiuwiz wiuz tu.Na unataka huruma kwetu.pumbavu
Wote tunafahamu ni kosa kubwa sana kaka dereva alianza kuumwa wakiwa eneo ambalo ni njia ya tembo na mtandao hakuna pia ilikua usiku hawakuweza kufanya mawasiliano na kiongozi wao wa kazi. ila kilichoonekana ni kwamba maboss walikua na ugomvi na walimuondoa ili kuendeleza ugomvi wao.Pole sana
naomba nichangie hiyo sehemu ya mwisho;
Naomba kujua kama aliyemsaidia Dereva alikuwa na leseni HALALI ya kuendesha gari husika kwani hicho ni kigezo muhimu sana kwa ajili ya Bima/Insurance kama gari litapata shida.
Isijekuwa anaendesha/sogeza lori la Milioni 700 huku hana leseni...