Bird Watcher
JF-Expert Member
- Aug 19, 2013
- 4,496
- 9,281
Wanajenga Reli ya Standard Gauga(SGR) Wako Chini ya Kampuni mbalimbali ila Main Contractor ni Yap markez
Wanajenga Reli ya Standard Gauga(SGR) Wako Chini ya Kampuni mbalimbali ila Main Contractor ni Yap markez
Umesema asubuhi dada poa alikutwa ameng'ata shuka, hapa unasema waturuki walipimwa ngoma ili dada poa apatiwe zile dawa za fasta kabla ya masaa 72. Dogo acha kutufanya wajinga basi.
Hahaha Wanawake bana, Haya maneno tumeyazoea na Bado Chupi mnavua sana, Ladies have no standardsKwani mimi.sina zangu? Aisee sijawhi muomba mwanaume pesa, na sijawahi chukua pesa ya mwanaume kama siko. kwenye serious relationship nae. Haijawahi tokea
Tangu niachane na bf wangu 2018, sijawahi ingia mahusiano ambayo nayakumbuka.na kama.niliingia ni ni mahusiano na mtu mmoja tu na hatukufika mbali. Na huyu mtu sio njaa ana standards zake
Ukiona naongelea pesa namaanisha siwezi ingia mahusiano na.mtu ambae hana pesa staki mimi kuambukizwa umaskini.
Nadhani leo hii kitu nimeiweka sawa. Nafanya kazi visenti vidogo navipata, sina njaa ndogo ndogo
Therefore, siwezi. ingia mahusiano na mwanaume njaa bora nikae single.
Utitili hauwezi ingia maishani kwangu.
Nb.kaa ukijua hakuna mwanamke mwenye vipesa vyake vya mboga akateswa na mapenzi.
Siingii mahusiano na mtu kisa ana pesa, no lazima niwe na hisia nae, lazima niwe na malengo nae.
NA SI DATE MME WA MTU.
I date only OQP, only quality people lakini lazima awe sifa za mwanaume ninaemtaka
Nb OQP ni wachache ambao hawajao, so kumpata muda lazima upite.
Remember life its about choice.
Naandika kwa kujiamini coz najua hapa kuna mtu ananijua vizuri tu. So siandiki kuwafurahisha nyinyi, mimi siendekezi njaa. Na si date utitili.
Na umri wangu sio wa kudate vijana vijana come on!!!!
Kuna mtu anavutwa apa na maneno matamu, Umejieleza sana dada i can assure audience hapa kuwa wewe ni Slay Queen tu Uliye amua ku up your standards ila kwa izi explanation, I smell something FishyKwani mimi.sina zangu? Aisee sijawhi muomba mwanaume pesa, na sijawahi chukua pesa ya mwanaume kama siko. kwenye serious relationship nae. Haijawahi tokea
Tangu niachane na bf wangu 2018, sijawahi ingia mahusiano ambayo nayakumbuka.na kama.niliingia ni ni mahusiano na mtu mmoja tu na hatukufika mbali. Na huyu mtu sio njaa ana standards zake
Ukiona naongelea pesa namaanisha siwezi ingia mahusiano na.mtu ambae hana pesa staki mimi kuambukizwa umaskini.
Nadhani leo hii kitu nimeiweka sawa. Nafanya kazi visenti vidogo navipata, sina njaa ndogo ndogo
Therefore, siwezi. ingia mahusiano na mwanaume njaa bora nikae single.
Utitili hauwezi ingia maishani kwangu.
Nb.kaa ukijua hakuna mwanamke mwenye vipesa vyake vya mboga akateswa na mapenzi.
Siingii mahusiano na mtu kisa ana pesa, no lazima niwe na hisia nae, lazima niwe na malengo nae.
NA SI DATE MME WA MTU.
I date only OQP, only quality people lakini lazima awe sifa za mwanaume ninaemtaka
Nb OQP ni wachache ambao hawajao, so kumpata muda lazima upite.
Remember life its about choice.
Naandika kwa kujiamini coz najua hapa kuna mtu ananijua vizuri tu. So siandiki kuwafurahisha nyinyi, mimi siendekezi njaa. Na si date utitili.
Na umri wangu sio wa kudate vijana vijana come on!!!!
Kwa nilivyowaona pale samaki samaki hata bia wanashea na muda wote wako in group of 3 au zaidi... Naona wakichukua demu wanachanga ili kumlipa na kulipia room. Maybe hawalipwi vizuri am not sure..
Acha blah blah na porojo thibitisha kwanza la sivyo KAA KIMYA
Kesi ya nini mkuuYapi melkez😂😂😂😂 hii nchi imejaa wapumbavu wengi sana, magufuri aliponipa kesi wapuuzi walijua napotea kabisa
Kwani waliopimwa si wale waturuki na kukutwa wameathirikaNgoma ya kizungu hyo, ya kiswazi baada ya miezi mitatu.
Sasa dada poa yeye alipimwa kujua hali yake?ukute nae alikuwa nao kitambo tuSoma habari uelewe. Yaani wale majamaa ya Kituruki ndiyo yalipimwa ili kujua status yao ili kama waneathirika dada apatiwe zile dawa za fasta kabla ya masaa 72. Sasa wote wakakutwa wana Ngoma. It means wanayo muda mrefu mpaka kipimo kimesoma.
Yarpi, wajenga reliKwani Hao waturuki Ni wafanyakazi wa kampuni gani? Tuanzie Hapo [emoji3061][emoji3061][emoji3061]
Hao huwa wana posho ndogo tu za kujikimu ,pesa yao inaingia kwao,hawalipwi mkononi mana wengi wanakuwa vizuiziniKwa nilivyowaona pale samaki samaki hata bia wanashea na muda wote wako in group of 3 au zaidi... Naona wakichukua demu wanachanga ili kumlipa na kulipia room. Maybe hawalipwi vizuri am not sure..
Smell what ever you smell hapa jf big no kama wataka prove fungua Id mpyaKuna mtu anavutwa apa na maneno matamu, Umejieleza sana dada i can assure audience hapa kuwa wewe ni Slay Queen tu Uliye amua ku up your standards ila kwa izi explanation, I smell something Fishy
Utajiju.Hahaha Wanawake bana, Haya maneno tumeyazoea na Bado Chupi mnavua sana, Ladies have no standards
Umelazimishwa kusoma?Maelezo meeengi unamaliza makaratasi tu
Kasome vzuri me nshasahauKwani waliopimwa si wale waturuki na kukutwa wameathirika