Machame Juu
JF-Expert Member
- Jul 25, 2013
- 1,514
- 3,379
Tatizo unasikia umbeaumbea tu. Thibitisha sasa ukishindwa KAA KIMYAMkuu nenda kafanye utafiti kwenye ujenzi wa reli SGR utakua umethibitisha,
Tatizo unasikia umbeaumbea tu. Thibitisha sasa ukishindwa KAA KIMYAMkuu nenda kafanye utafiti kwenye ujenzi wa reli SGR utakua umethibitisha,
Umelaaniwa wewe kuwadi wa waturuki,, mbwa wewe
We mjinga SanaAchilia mbali waturuki. Asomia 75 ya misikit imejengwa kwa hela ya ngada.
We Mufti piga kimya alafu pita huku unanijazia inzi tu mkuu nisije nikakuzimia huu Moshi, una undugu na watu ruki wafiraji?Tatizo unasikia umbeaumbea tu. Thibitisha sasa ukishindwa KAA KIMYA
Unajua unaizungumzia nchi ambayo 99.9% watu wake ni waislamu, kua makini mkuuwaturuki hawajajenga msikiti hata mmoja na wengine sio waislamu pili waturuki wajenga reli wengi wao ni wafungwa wameletwa huku kumalizia siku zao za jela
Una experience na hivyo vipimo mkuuKama mtu anayo kwanini isionyeshe ila kuna kipimo Cha 50k unalipa nakinaonyesha tofauti na kile Cha buree
Kelele miingi. Thibitisha sasa ukishindwa KAA KIMYAUnajua unaizungumzia nchi ambayo 99.9% watu wake ni waislamu, kua makini mkuu
Mwanangu unajikubali.Kwani mimi.sina zangu? Aisee sijawhi muomba mwanaume pesa, na sijawahi chukua pesa ya mwanaume kama siko. kwenye serious relationship nae. Haijawahi tokea
Tangu niachane na bf wangu 2018, sijawahi ingia mahusiano ambayo nayakumbuka.na kama.niliingia ni ni mahusiano na mtu mmoja tu na hatukufika mbali. Na huyu mtu sio njaa ana standards zake
Ukiona naongelea pesa namaanisha siwezi ingia mahusiano na.mtu ambae hana pesa staki mimi kuambukizwa umaskini.
Nadhani leo hii kitu nimeiweka sawa. Nafanya kazi visenti vidogo navipata, sina njaa ndogo ndogo
Therefore, siwezi. ingia mahusiano na mwanaume njaa bora nikae single.
Utititili hauwezi ingia maishani kwangu.
Nb.kaa ukijua hakuna mwanamke mwenye vipesa vyake vya mboga akateswa na mapenzi.
Siingii mahusiano na mtu kisa ana pesa, no lazima niwe na hisia nae, lazima niwe na malengo nae.
NA SI DATE MME WA MTU.
I date only OQP, only quality.lakini lazima awe sifa za mwanaume ninaemtaka
Nb OQP ni wachache ambao hawajao, so kumpata muda lazima upite.
Remember life its about choice.
Naandika kwa kujiamini coz najua hapa kuna mtu ananijua vizuri tu. So siandiki kuwafurahisha nyinyi, mimi siendekezi njaa. Na si date utitili.
Na umri wangu sio wa kudate vijaba vijana come on!!!!
Mufti ee acha hizoKelele miingi. Thibitisha sasa ukishindwa KAA KIMYA
Wewe ni muongo bwana.
Baada ya wiki kadhaaUkiambukizwa ngoma kipimo kinaonyesha siku hiyo hiyo?
kwa mujibu wa maelezo yake n wale waturuki ndo waathirika labda huyo dada anatakiwa akae baada ya muda flani ndio akapme na vpmo vikiwa fresh ashukuru mungu kwa kumtolea sadaka maana c mchezo atUkiambukizwa ngoma kipimo kinaonyesha siku hiyo hiyo?
Soma vizuri uelewe alichoandika mwenzako.Ukiambukizwa ngoma kipimo kinaonyesha siku hiyo hiyo?
Yapi merkez wanajenga reli ya sgrKwani Hao waturuki Ni wafanyakazi wa kampuni gani? Tuanzie Hapo [emoji3061][emoji3061][emoji3061]
Tupia kapicha basi tukuthaminishe mrembo.Kwani mimi.sina zangu? Aisee sijawhi muomba mwanaume pesa, na sijawahi chukua pesa ya mwanaume kama siko. kwenye serious relationship nae. Haijawahi tokea
Tangu niachane na bf wangu 2018, sijawahi ingia mahusiano ambayo nayakumbuka.na kama.niliingia ni ni mahusiano na mtu mmoja tu na hatukufika mbali. Na huyu mtu sio njaa ana standards zake
Ukiona naongelea pesa namaanisha siwezi ingia mahusiano na.mtu ambae hana pesa staki mimi kuambukizwa umaskini.
Nadhani leo hii kitu nimeiweka sawa. Nafanya kazi visenti vidogo navipata, sina njaa ndogo ndogo
Therefore, siwezi. ingia mahusiano na mwanaume njaa bora nikae single.
Utititili hauwezi ingia maishani kwangu.
Nb.kaa ukijua hakuna mwanamke mwenye vipesa vyake vya mboga akateswa na mapenzi.
Siingii mahusiano na mtu kisa ana pesa, no lazima niwe na hisia nae, lazima niwe na malengo nae.
NA SI DATE MME WA MTU.
I date only OQP, only quality.lakini lazima awe sifa za mwanaume ninaemtaka
Nb OQP ni wachache ambao hawajao, so kumpata muda lazima upite.
Remember life its about choice.
Naandika kwa kujiamini coz najua hapa kuna mtu ananijua vizuri tu. So siandiki kuwafurahisha nyinyi, mimi siendekezi njaa. Na si date utitili.
Na umri wangu sio wa kudate vijaba vijana come on!!!!
Kwendraaaaaa😅Tupia kapicha basi tukuthaminishe mrembo.