Watunga Sheria wa Trial and Error!!

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Oct 20, 2014
15,322
24,192
20190628_085429.jpg


Where is common sense?

Hii sheria ya Takwimu inawasumbua wanasheria, hasa watunga sharia, tatizo ni kukosa weledi na umakini.

Hivi, tukiwa na wanasheria tena wa kiwango cha u Profesa, lakini wana tunga sheria kwa Trial an Error, hao tuwaiteje!

Na tatizo kubwa zaidi ni Bunge letu kupitisha sheria zisizo na viwango.
Pamoja na baadhi ya wabunge kupigia kelele muswaada wa sheria ya Takwimu ,lakini bado ikapitishwa.

Leo tunaadhirika baada ya mataifa na mashirika ya kimataifa kutunyooshea vidole na kutunyima mikopo na misaada ya maendeleo.

Wanasheria ,watunga sheria wasomi, acheni kufanya kazi kwa Trial and Error, inawapunguzia hadhi na weledi wa kazi.
 
View attachment 1140747

Where is common sense?

Hii sheria ya Takwimu inawsumbua wanasheria, hasa watunga sheria.

Hivi, tukiwa na wanasheria tena wa kiwango cha u Profesa, lakini wana tunga sheria kwa Trial an Error, hao tuwaiteje!

Na tatizo kubwa zaidi ni Bunge letu kupitisha sheria zisizo na viwango.
Pamoja na baafhi ya wabunge kupigia kelele muswaada wa sheria ya Takwimu ,lakini bado ikapitishwa.

Leo tunaadhirika baada ya mataifa na mashirika ya kimataifa kutunyooshea vidole na kutunyima mikopo na misaada ya maendeleo.

Wanasheria ,watunga sheria wasomi, acheni kufanya kazi kwa Trial and Error, inawapunguzia hadhi na weledi wa kazi.
Jiwe aliamrisha wamtungie hii sheria Zitto Kabwe kwa ajili alikuwa akikosoa sana takwimu za ukujai wa uchumi...
 
... hii nchi ni aibu mwanzo mwisho! Badala ya kujifunza kwa wenye sheria bora inaelekea watunga sera na sheria za nchi hii hujifunza kutoka kwa akina Kim and the like! Halafu utamkuta waziri, mbunge wa CCM, Kiti, n.k. wanavyotetea ujinga utafikiri nini sijui.
 
... hii nchi ni aibu mwanzo mwisho! Badala ya kujifunza kwa wenye sheria bora inaelekea watunga sera na sheria za nchi hii hujifunza kutoka kwa akina Kim and the like! Halafu utamkuta waziri, mbunge wa CCM, Kiti, n.k. wanavyotetea ujinga utafikiri nini sijui.
Kama namuona yule mama mwenye kisabengo ambaye anataka kuingilia mchango wa kila mbunge anayekosoa serikali. Ha ha ha haaaa. Yule mama huwa namshangaa sana. Angekuwa mama yanhu nisingemsalimia.
 
Kama namuona yule mama mwenye kisabengo ambaye anataka kuingilia mchango wa kila mbunge anayekosoa serikali. Ha ha ha haaaa. Yule mama huwa namshangaa sana. Angekuwa mama yanhu nisingemsalimia.
... bila kumsahau gwiji wa mwongozo wa supika hoja inapokuwa inatolewa na mpinzani!
 
... bila kumsahau gwiji wa mwongozo wa supika hoja inapokuwa inatolewa na mpinzani!
Ni huyo huyo. Wa kule mkoa wa kina Bambo. Yule ana roho mbaya na mbaya zaidi anajipendekeza mpaka mwisho.
 
View attachment 1140747

Where is common sense?

Hii sheria ya Takwimu inawsumbua wanasheria, hasa watunga sheria.

Hivi, tukiwa na wanasheria tena wa kiwango cha u Profesa, lakini wana tunga sheria kwa Trial an Error, hao tuwaiteje!

Na tatizo kubwa zaidi ni Bunge letu kupitisha sheria zisizo na viwango.
Pamoja na baafhi ya wabunge kupigia kelele muswaada wa sheria ya Takwimu ,lakini bado ikapitishwa.

Leo tunaadhirika baada ya mataifa na mashirika ya kimataifa kutunyooshea vidole na kutunyima mikopo na misaada ya maendeleo.

Wanasheria ,watunga sheria wasomi, acheni kufanya kazi kwa Trial and Error, inawapunguzia hadhi na weledi wa kazi.

Sio trial & error bali jiwe ndio anawapelekesha watunge sheria zinazoshabihiana na matakwa yake. Na kwakuwa hao wanasheria na wabunge wanapigania matumbo yao wanatekeleza huo upuuzi.
 
Kama namuona yule mama mwenye kisabengo ambaye anataka kuingilia mchango wa kila mbunge anayekosoa serikali. Ha ha ha haaaa. Yule mama huwa namshangaa sana. Angekuwa mama yanhu nisingemsalimia.

Tena unampiga na miti kabisa ili iwe mbaya mazima.
 
Sheri zinazotungwa na kujadiliwa bungeni zisiwe za kuwanufaisha wale wanaozipendekeza na kuzitunga zi focus kuwanufaisha wananchi wote wa watanzania sio kikundi cha watu.Wabunge wetu wasifikilie kutunga sheria za kugandamiza au kulenga watu fulani katika jamii maana ujuwe na wewe waweza kutoka katika vyombo vya maamuzi ukaja kukumbana na sheria kama hizo zikakukatisha tamaa.
 
Sheri zinazotungwa na kujadiliwa bungeni zisiwe za kuwanufaisha wale wanaozipendekeza na kuzitunga zi focus kuwanufaisha wananchi wote wa watanzania sio kikundi cha watu.Wabunge wetu wasifikilie kutunga sheria za kugandamiza au kulenga watu fulani katika jamii maana ujuwe na wewe waweza kutoka katika vyombo vya maamuzi ukaja kukumbana na sheria kama hizo zikakukatisha tamaa.
Kada ya wanasheria wabobezi kwa sasa wanaadhirika vibaya.
Kama hizi kazi hawaziwezi, licha ya usomi wao si wajiuzulu tu, kuliko kula matapishi!!
 
View attachment 1140747

Where is common sense?

Hii sheria ya Takwimu inawsumbua wanasheria, hasa watunga sheria.

Hivi, tukiwa na wanasheria tena wa kiwango cha u Profesa, lakini wana tunga sheria kwa Trial an Error, hao tuwaiteje!

Na tatizo kubwa zaidi ni Bunge letu kupitisha sheria zisizo na viwango.
Pamoja na baafhi ya wabunge kupigia kelele muswaada wa sheria ya Takwimu ,lakini bado ikapitishwa.

Leo tunaadhirika baada ya mataifa na mashirika ya kimataifa kutunyooshea vidole na kutunyima mikopo na misaada ya maendeleo.

Wanasheria ,watunga sheria wasomi, acheni kufanya kazi kwa Trial and Error, inawapunguzia hadhi na weledi wa kazi.
Wanao liangamiza hili Taifa ni wasomi.Katika karne hii ambapo wasomi wa mataifa mengine wanapambana kukuza uchumi na teknolojia na uchumi katika mataifa yao,wasomi wetu wametingwa na mambo ya ajabu ajabu.
 
Sheri zinazotungwa na kujadiliwa bungeni zisiwe za kuwanufaisha wale wanaozipendekeza na kuzitunga zi focus kuwanufaisha wananchi wote wa watanzania sio kikundi cha watu.Wabunge wetu wasifikilie kutunga sheria za kugandamiza au kulenga watu fulani katika jamii maana ujuwe na wewe waweza kutoka katika vyombo vya maamuzi ukaja kukumbana na sheria kama hizo zikakukatisha tamaa.

Nusu ya hao wabunge wako humo bungeni kwa njia zisizo halali. Hivyo huo wingi wao unatumika rasmi kupitisha maslahi ya genge la watawala.
 
Kada ya wanasheria wabobezi kwa sasa wanaadhirika vibaya.
Kama hizi kazi hawaziwezi, licha ya usomi wao si wajiuzulu tu, kuliko kula matapishi!!

Wajiuzulu wakale wapi. Wao hawako kulinda weledi bali tumbo. Na haya yote ni matokeo ya katiba inayompa rais nguvu ya umungu mtu, ndio maana wanasheria wanatumika na kutupwa kama bigG iliyoisha utamu.
 
Wanao liangamiza hili Taifa ni wasomi.Katika karne hii ambapo wasomi wa mataifa mengine wanapambana kukuza uchumi na teknolojia na uchumi katika mataifa yao,wasomi wetu wametingwa na mambo ya ajabu ajabu.
Shame kwa watunga sharia, both wizara ya sharia na Bunge kwa kukosa weledi.
 
No matter how great an intellect a person has, if he lacks the courage of his convictions to pursue what he knows is right, he will be rendered a fool.

By David Coltart
Former Zimbabwean Minister
 
Back
Top Bottom