peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,818
- 21,425
Wanachama wa CCM walio waajiriwa wa Serikali na wenye sifa za utumishi wa umma na waliogombea nec 2017 na kugombea au kutoa Nia kugombea ubunge kupitia majimbo ninashauri wakumbukwe kwenye uteuzi wa madas na maDED.
Tukumbuke kuwa watumishi hao kwa kipindi cha miezi mitatu walikatwa mishahara yao na walikichagia chama kwa moyo mmoja. Pia watumishi hao ni makada wa chama tena wa muda mrefu. Wakurungenzi waliopo wengi wao ni wachumia tumbo na hawakijali chama Wala hawaijui ilani ya CCM.
Pia, Rais akumbuke kuwa watumishi hao hao mwaka 2025 ndio watakao kipigania na kukifia chama. Ili wahulikane waliko watafutwe Jimbo kwa Jimbo watapatikana.
Tukumbuke kuwa watumishi hao kwa kipindi cha miezi mitatu walikatwa mishahara yao na walikichagia chama kwa moyo mmoja. Pia watumishi hao ni makada wa chama tena wa muda mrefu. Wakurungenzi waliopo wengi wao ni wachumia tumbo na hawakijali chama Wala hawaijui ilani ya CCM.
Pia, Rais akumbuke kuwa watumishi hao hao mwaka 2025 ndio watakao kipigania na kukifia chama. Ili wahulikane waliko watafutwe Jimbo kwa Jimbo watapatikana.