nderingosha
JF-Expert Member
- Mar 20, 2011
- 4,285
- 3,247
..halafu linategemea watumishi hao hao wa umma kufanikisha malengo yake...this is ironic to say the least...alafu utasikia yanasema watumishi kuweni wazalendo...my foot!!..uzalendo wafanye wao kwanza kulipa stahiki za watumishi.....