Uchaguzi 2020 Watumishi wa Umma: The silent majority stronger than ever

General Mangi

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
15,300
23,022
Sitaki kusema mengi, lakini kundi hili lipo kimya, halina kelelee.

Walichofanyiwa miaka 5 wanajua cha kufanya. Ni kundi dogo ila lina ushawishi wake. Kumbuka mtumishi mmoja anategemewa na wastani wa watu 4. Kuna Baba, Mama, Mwanza acha hao ndugu wengine.

Watu hawa kwa sasa wameamua kunyamaza, hawahangaiki na kelele za mitandao, sijui magazeti, na hizo redio pamoja na nyimbo za wasanii kedekede. Wanajua nini cha kufanya October.

WATUMISHI: THE SILENT MAJORITY IS STRONGER THAN EVER BEFORE.
 
Watumishi wa Umma sio threat hata kidogo na hawana impact. Unajua wapo wangapi ukilinganisha na idadi ya wapiga kura wote hapa nchini?
 
Watumishi wa Umma sio threat hata kidogo na hawana impact. Unajua wapo wangapi ukilinganisha na idadi ya wapiga kura wote hapa nchini?
Kila mtumishi ana watu kibao wanamtegemea! Ana ushawishi mkubwa kwa wategemezi
 
MKuu piga kimyaa mana tuliona kwenye chaguzi za marudio kw akutambua hilo MACCM waliamua kuweka wasimamizi makada, ngoja tuone this time itakuwaje.
 
Kundi la watumishi wa umma + Kundi la wastaafu wanaozungushwa nenda rudi kwenye ishu za mafao yao wanasubiri wafanye yao kimya kimya!
 
Tatizo kubwa wamejengewa nidhamu ya uwoga ya kutishwa kufukuzwa kazi. Sasa wamekuwa kama wakiwa wakiwa na mawazo moyoni
 
Back
Top Bottom