Watumishi wa darasa la saba

Watumishi wa darasa la saba

Ambase

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2018
Posts
562
Reaction score
479
Kwa huzuni kabisa tuna hawa ndg zetu waliokua watumishi wa umma kabla hawajasitishiwa ajira na mishahara pia.hawa watumishi waliajiriwa na serikali hihii ya CCM. Kwa vigezo na sifa zote ,kwani wasingekua na hizo sifa wasingeajiriwa .waliajiriwa wakadhibitishwa kazini uwepo wao na barua ya ajira ya kudumu ,hadi chech no .walikua Nazo ajabu likatokea tamko ghafla kama msiba eti wale wote walio na elimu ya darasa LA saba waliopata ajira baada ya mei 20 watasitishiwA mishahara yao Mara moja .utadhani wezi.kwa maana hawana vyeti vya kidato cha NNE .nikajiuliza 2017 kule Kilimanjaro moshi mei mosi Raisi magufuli mwenyewe alisema kuhusu uhakiki wa watumishi walio na vyeti feki hauwagusi watumishi wa darasa LA saba kwani ndivyo vyeti walivyoajiriwA navyo.sasa tukashangaa kwa huzuni mkubwa bw ndumbaru analeta msiba kwa watu hao.kweli wameumia mno basi kama serikali haiwataki walipwe hela za mifuko waliokua wanachangia lakini serikali imekaa kimya kana kwamba hakuna kilichofanyika. Kwa hawa watumishi ambao kiuhakika ndio wanyonge wa kweli kwenye taiga hili kwani mtumishi ni MTU anaebeba watu wanaomtegemea wengi mno kwa namna tofauti .serikali iangalie hili.
 
Kwa huzuni kabisa tuna hawa ndg zetu waliokua watumishi wa umma kabla hawajasitishiwa ajira na mishahara pia.hawa watumishi waliajiriwa na serikali hihii ya CCM. Kwa vigezo na sifa zote ,kwani wasingekua na hizo sifa wasingeajiriwa .waliajiriwa wakadhibitishwa kazini uwepo wao na barua ya ajira ya kudumu ,hadi chech no .walikua Nazo ajabu likatokea tamko ghafla kama msiba eti wale wote walio na elimu ya darasa LA saba waliopata ajira baada ya mei 20 watasitishiwA mishahara yao Mara moja .utadhani wezi.kwa maana hawana vyeti vya kidato cha NNE .nikajiuliza 2017 kule Kilimanjaro moshi mei mosi Raisi magufuli mwenyewe alisema kuhusu uhakiki wa watumishi walio na vyeti feki hauwagusi watumishi wa darasa LA saba kwani ndivyo vyeti walivyoajiriwA navyo.sasa tukashangaa kwa huzuni mkubwa bw ndumbaru analeta msiba kwa watu hao.kweli wameumia mno basi kama serikali haiwataki walipwe hela za mifuko waliokua wanachangia lakini serikali imekaa kimya kana kwamba hakuna kilichofanyika. Kwa hawa watumishi ambao kiuhakika ndio wanyonge wa kweli kwenye taiga hili kwani mtumishi ni MTU anaebeba watu wanaomtegemea wengi mno kwa namna tofauti .serikali iangalie hili.
mei 20, mwaka.... walikuwa wamepewa muda wa kusoma mpaka f4. hawakufanya hivyo, ndiyo sababu. wengine wa nyuma ya hapo wapo kazini.
 
Kaongeze elimu ! Siku hizi hata walinzi, hg pia wafagizi maofisini ni form iv nakuendelea!

Wacha kutafuta huruma ya serikali hapa, vijana wenye shahada ya kwanza na ya pili achilia mbali stashahada na astashahada wanasugua benchi wewe na elim ya std seven unalia ? Kaongeze elimu !

Kama umri umesogea, wekeza achana na ajira mda mwingine ni utumwa, miaka yote umefanya kazi unaishi kwa mshahara ? Hata genge limekushinda ? Ufugaji ? Kioski ?
 
Usiwe kipofu wa akili na usiwe na roho ya kishetani Mimi nilisema OK fine wapo waliajiriwa kwa level ya std vii kuanzia 2015-2016 na ni serikali hii ndio iliwaajiri kwa taratibu zote so usikurupuke kwa ushabiki wa kijinga
shetani mama yako, kumbe wewe mshenzi. nimekosea wapi? Nimesema ninalolijua na liko sahhi. why use harsh language, shenzi mkubwa we
 
Pole Sana unajifanya sio wewe !!! Pambana na Hali yako, wacha kulia lia hapa !!!! Jitume, mtu mzima umezeekea ajirani unalilia kupigwa chini na elimu yako ya std 7 ? Ulikuwa wapi hukujiendeleza ?

Si ajabu ulichumia tumboni ukashindwa kuwekeza !!!

Pumbaffffffffffff
 
Kwa huzuni kabisa tuna hawa ndg zetu waliokua watumishi wa umma kabla hawajasitishiwa ajira na mishahara pia.hawa watumishi waliajiriwa na serikali hihii ya CCM. Kwa vigezo na sifa zote ,kwani wasingekua na hizo sifa wasingeajiriwa .waliajiriwa wakadhibitishwa kazini uwepo wao na barua ya ajira ya kudumu ,hadi chech no .walikua Nazo ajabu likatokea tamko ghafla kama msiba eti wale wote walio na elimu ya darasa LA saba waliopata ajira baada ya mei 20 watasitishiwA mishahara yao Mara moja .utadhani wezi.kwa maana hawana vyeti vya kidato cha NNE .nikajiuliza 2017 kule Kilimanjaro moshi mei mosi Raisi magufuli mwenyewe alisema kuhusu uhakiki wa watumishi walio na vyeti feki hauwagusi watumishi wa darasa LA saba kwani ndivyo vyeti walivyoajiriwA navyo.sasa tukashangaa kwa huzuni mkubwa bw ndumbaru analeta msiba kwa watu hao.kweli wameumia mno basi kama serikali haiwataki walipwe hela za mifuko waliokua wanachangia lakini serikali imekaa kimya kana kwamba hakuna kilichofanyika. Kwa hawa watumishi ambao kiuhakika ndio wanyonge wa kweli kwenye taiga hili kwani mtumishi ni MTU anaebeba watu wanaomtegemea wengi mno kwa namna tofauti .serikali iangalie hili.
Nenda kasome tu hakuna namna.

Mkiwa ofisini mnatujibu nyodo sana nyie nenda kapate tabu tulizopata shuleni
 
Kaongeze elimu ! Siku hizi hata walinzi, hg pia wafagizi maofisini ni form iv nakuendelea!

Wacha kutafuta huruma ya serikali hapa, vijana wenye shahada ya kwanza na ya pili achilia mbali stashahada na astashahada wanasugua benchi wewe na elim ya std seven unalia ? Kaongeze elimu !

Kama umri umesogea, wekeza achana na ajira mda mwingine ni utumwa, miaka yote umefanya kazi unaishi kwa mshahara ? Hata genge limekushinda ? Ufugaji ? Kioski ?
Hivi upumbavu nao ni moja kati ya magonjwa ya mlipuko?au ni ugonjwa wa kurithi?
 
We we ni mzoga hujitambui nimesema nawasemea wenzangu waliokumbwa na sekeseke hilo kwa kua huna akili na utashi wa kibinadamu ndo unaropoka upumbavu
Ww Ni mbwa tu hapa jf,,,, unatafuta huruma ya serikali ? Pumbavu kasome !!! Wewe Bibi nenda kalee wajukuu, mda wote umefanya kazi Kama hukuwekeza kafie mbele
 
Ww Ni mbwa tu hapa jf,,,, unatafuta huruma ya serikali ? Pumbavu kasome !!! Wewe Bibi nenda kalee wajukuu, mda wote umefanya kazi Kama hukuwekeza kafie mbele
Kitalembwa acha matusi. nshomile ni watu wastaarabu! Use soft language please. Usidanganyike... kitalembwa
 
Mijitu mijinga kumbe bado ipo!!!Serikali ilishafanya maamuzi hayo lini?Juzi,Jana au leo?Hili suala si lilishafanyiwa maamuzi zaidi ya mwaka mmoja uliopita?Tumeshasahau kitambo kuhusu suala la vyeti feki,watumishi hewa na hao std 7 waliopewa muda wa kujiendeleza lakini walidhani ni masihara.

Mnaibua hili kwa sasa hivi kwa sababu Mei Mosi imekaribia ili KUTAFUTA huruma ya Serikali au?

Mijitu haikuwa na sifa ya kushika madaraka,viburi na dharau halafu waliokuwa na sifa wakiwekwa pembeni na kupuuzwa.Kilichofanyika ni sahihi.Tunakutana nao mitaani sasa hivi IPO kama mijinga fulani hivi sawa na mijinga fulani hivi inayobishana na kuibua hoja kuhusu maamuzi sahihi ya Serikali.

Duniani kote Serikali ni lazima ifanye maamuzi ambayo yatakuwa na tija kwa Taifa ingawa kuna wengine wataumia.Hiyo mipuuzi inayoibua hoja iliyofungwa tangu kitambo wajue wanawakumbusha machungu waliokumbwa na fagio la chuma na kukoseshwa kula uluwa usiowastahili.

Tusipotoshane,sipotoshi na msitupotoshe.
 
Back
Top Bottom