Watumishi hao wasikitishwa na kauli za kulopana posho kwa wabunge huku wao ambao ni wahudumu muhimu katika vikao hivyo kutolipwa mishahara hadi sasa.
Mmoja wao akizungumza hapa mjini dodoma katika sehemu moja ya kupata vinywaji anadai huu ni ujinga hasira zao kwa ukawa wanahamishia kutokutulipa sisi wafanyakazi hii ni serikali dhalimu ambayo haijali wafanyakazi.
Utasikia bungeni wanatangaza eti wajumbe wanaotaka kuchukua cash waende ofisi za uhasibu na wengine wale wa nmb tayari zimeingizwa huku sisi hata mshahara wa mwezi wa saba bado hatujalipwa hadi sasa, je huu ni uungwana?
Hela za wajumbe zipo ila za mishahara yetu hazipo huu ni upumbavu kabisa wa serikali hii kwenye maisha yetu wanafanya propaganda tuu.
Haya ni maneno ya mtumishi wa bunge akilalama hapa bar kweli ccm ni hatari.
Mmoja wao akizungumza hapa mjini dodoma katika sehemu moja ya kupata vinywaji anadai huu ni ujinga hasira zao kwa ukawa wanahamishia kutokutulipa sisi wafanyakazi hii ni serikali dhalimu ambayo haijali wafanyakazi.
Utasikia bungeni wanatangaza eti wajumbe wanaotaka kuchukua cash waende ofisi za uhasibu na wengine wale wa nmb tayari zimeingizwa huku sisi hata mshahara wa mwezi wa saba bado hatujalipwa hadi sasa, je huu ni uungwana?
Hela za wajumbe zipo ila za mishahara yetu hazipo huu ni upumbavu kabisa wa serikali hii kwenye maisha yetu wanafanya propaganda tuu.
Haya ni maneno ya mtumishi wa bunge akilalama hapa bar kweli ccm ni hatari.