OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,682
- 120,373
Hakuna siku ninakosa kusoma habari za watumishi wa umma kulalamikia serikali kuwatupa awamu hii.Hawa wanalalamika mishahara kutokupanda,wale wanalalamika promotion,huyu analalamikia matamko ya wanasiasa yasiyokoma,Mimi nalalamikia uhakiki usiokoma.......nk nk.Lakini yote ni dhahiri mtumishi ana maisha ya unyonge na magumu sana awamu hii.Hohe have
Nimefikiria na kutafakari sana.Kuna kitu kinaitwa Laana. Hiki humpata mtu anayemtendea mwenzie mabaya huku akijua.
Wakati wa chaguzi siye watumishi wa umma ndio watendaji katika chaguzi.Mambo yote mabaya katika kuchakachua ama kupindua masanduku ya kura ni lazima mtumishi wa umma atie mkono wake.Kuanzia mgambo mpaka DED mpaka mkurugenzi wa uchaguzi.
Na kula malalamishi toka Zanzibar mpaka bars kuwa "" CCM waliibiwa sana kura na UKAWA".Najaribu kujenga hisia kwamba pengine pengine laana za kusaidia wizi wa kura katika uchaguzi vinatutafuna watumishi wa umma
Chrismass njema wana JF wote,Lema na Ben Saanane ninakulilia
Nimefikiria na kutafakari sana.Kuna kitu kinaitwa Laana. Hiki humpata mtu anayemtendea mwenzie mabaya huku akijua.
Wakati wa chaguzi siye watumishi wa umma ndio watendaji katika chaguzi.Mambo yote mabaya katika kuchakachua ama kupindua masanduku ya kura ni lazima mtumishi wa umma atie mkono wake.Kuanzia mgambo mpaka DED mpaka mkurugenzi wa uchaguzi.
Na kula malalamishi toka Zanzibar mpaka bars kuwa "" CCM waliibiwa sana kura na UKAWA".Najaribu kujenga hisia kwamba pengine pengine laana za kusaidia wizi wa kura katika uchaguzi vinatutafuna watumishi wa umma
Chrismass njema wana JF wote,Lema na Ben Saanane ninakulilia