Watumishi freelancer wa Halotel/ Viettel Mwanza wagoma

kamati

JF-Expert Member
Mar 20, 2013
240
109
Jamani mi nashauri serikali ijaribu kuwachunguza hizi kampuni za kigeni.

Kuna hawa freelancers wa hapa Mwanza kampuni imewapa kazi ya kuuza line na kuwaahidi kuwalipa commission ya 450 kwa kila line.

Sasa vijana wa Kitanzania wamefanya kazi ya kuhakikisha wanauza bidhaa za kampuni pamoja na kuitangaza kampuni ambayo huwezi ona tangazo lake kwenye TV wala kusikia kwenye redio, Halotel, lakini mwisho wa siku hakuna malipo.

So vijana wameamua kugoma. Wapo getini kwenye ofisi za Halotel karibu na Rock City Mall. Serikali wasaidieni hawa vijana.
 
Huo mtandao bure kabisa.
Gharama zao kubwa hasa internet ni tofauti na walivyotangaza mwanzo.
Itakula kwao tu.
 
mbona hao jamaa wanalipa sema ndio hvo kidogo sana mfano rafk yangu ni frlilensa wao leo wamemlipa tsh 94 bila utata kama malipo ya mwez wa 12
 
mbona hao jamaa wanalipa sema ndio hvo kidogo sana mfano rafk yangu ni frlilensa wao leo wamemlipa tsh 94 bila utata kama malipo ya mwez wa 12

Mshahara wa mwezi Tshs 94??? (hii haitoshi hata kununua pipi); au una maana Tshs 94,000 au Tshs 940,000 kwa mwezi???
 
Mshahara wa mwezi Tshs 94??? (hii haitoshi hata kununua pipi); au una maana Tshs 94,000 au Tshs 940,000 kwa mwezi???

mkuu ni tsh 94 yan hata 100 ya pipi haifik na jamaa kawasajilia zaid ya lain 50. Hawa wavietnam hatar
 
nimeanza kuamini huu mtandao ni wa baba naniliu, huu ujanja ujanja hadi minara yao kutumia umeme wa wizi
 
mkuu ni tsh 94 yan hata 100 ya pipi haifik na jamaa kawasajilia zaid ya lain 50. Hawa wavietnam hatar

Looo, ukisitaajabu ya Mussa utaona ya Firauni!!!! Sasa hiyo Tshs 94 kwa mwezi ni kufanyia nini, si afadhali hao vijana waqfanye biashara ya karanga asu big G???!!! Hili ni jipu kubwa linahitaji kutumbuliwa harakaaaaa!!!!
 
Jaman ambaye ana vocha zile za Kama mda wa maongezi mtandao wowote ule mim nanunua hata kama unazo za milion 5 nipigie kwa namba yangu hii 0659202222 kwa wale Freelancer Nawapa iyo Fursa
 
Back
Top Bottom