Mathias Byabato JF-Expert Member Nov 24, 2010 1,020 691 Apr 13, 2012 #1 nimezinasa kwenye blog ya mdau mmoja huko bk BUKOBA PAMOJA issue hapa ni kwamba wengine tumesoma kwa hii kitu,ni kinywaji maarufu sana huko bk,imenikubusha mbali
nimezinasa kwenye blog ya mdau mmoja huko bk BUKOBA PAMOJA issue hapa ni kwamba wengine tumesoma kwa hii kitu,ni kinywaji maarufu sana huko bk,imenikubusha mbali
Ta Muganyizi R I P Oct 19, 2010 5,361 2,734 Apr 13, 2012 #6 Jasiri haachi asili......ukinywa hii magoti yote pwaaaaaa........ikiwa kali tunapika konyagi