Mpira wa kona
JF-Expert Member
- Nov 25, 2016
- 350
- 338
Kuna tabia imezushwa na baadhi ya watumiaji wa Kivuko Ferry badala ya kukaa au kusimama eneo husika wao wanakaa kwenye ngazi za kupanda au kushuka.Ukweli ukaaji wa kwenye hizo ngazi kunaleta usumbufu mkubwa Kwa abiria wanaotaka kupanda au kushuka.
Tunawaomba wote wenye tabia hiyo waache huo ni ushamba. Pia tunauomba Uongozi wa Vivuko wawe Na watumishi wao Kwa ajili ya kuthibiti hali hiyo pamoja Na mambo mengine.
Tunawaomba wote wenye tabia hiyo waache huo ni ushamba. Pia tunauomba Uongozi wa Vivuko wawe Na watumishi wao Kwa ajili ya kuthibiti hali hiyo pamoja Na mambo mengine.