Watuhumiwa waliokamatwa na almasi Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere wafikishwa mahakama ya Kisutu leo

real G

JF-Expert Member
Feb 7, 2013
5,227
5,287
Watuhumiwa waliokamatwa na almasi Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere wafikishwa mahakama ya Kisutu leo.

Almasi hiyo ilikamatwa siku tarehe 31/08/2017 na ilikuwa ikisafirishwa na shirika la ndege la KLM kwenda Uturuki
Almasi hizo zilikuwa zinatoka katika mgodi wa Mwadui Shinyanga ambapo serikali ina ubia na kampuni ya Petra Diamonds ya Afrika Kusini

Mzigo huo ulithaminishwa kuwa na thamani ya shilingi bilioni 32 za Kitanzania ila baada ya kuthaminishwa upya thamani yake ikakutwa ni takribani shilingi bilioni 65
WhatsApp Image 2017-09-15 at 10.33.41.jpeg


Chanzo: Mwananchi
 
Watuhumiwa waliokamatwa na almasi Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere wafikishwa mahakama ya Kisutu leo.

More to follow.
 
Wahujumu uchumi....... Magufuli alisema ukimkamata mwizi in hundred hutakiwa kumpeleka mahakamani ni ni kupoteza mda ni moja kwa moja ndani.....
 
Mwisho mtasikia DPP akitoa hukumu na kusema hana nia yakuendelea na hiyo kesi na watuhumiwa wako huru!
 
Back
Top Bottom