Salamander
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 28,538
- 15,739
Kuna mwanangu mmoja tukienda kupiga masanga tunamkimbia, manaake yeye anamimina haraka haraka dakika 10 gari lishawaka vibaya.
Wa kule kaskazini magharibi eh!?!!!Mbona kama anataka kufanana na yule mama yetu yule.......
Wako wengi wa hivyo mkuu , baada ya hapo ni kichina kwenda mbele.
Wa kule kaskazini magharibi eh!?!!!