Watu Wengi Hawato piga kura

Watu Wengi Hawato piga kura

Tman900

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2017
Posts
969
Reaction score
3,065
Kwa mtazamo wangu, Watu Wengi Hawato piga kura, Watakao jitokeza Wengi ni wapiga kura wapya.

Kama Mimi Binafsi Sina Nia ya kupiga kura maana Mgombea wangu atashinda alisikika mzeee Mmoja akiongea.

Hii ni Hadithi ya mwaka 20468483.
 
Kwa mtazamo wangu, Watu Wengi Hawato piga kura, Watakao jitokeza Wengi ni wapiga kura wapya.

Kama Mimi Binafsi Sina Nia ya kupiga kura maana Mgombea wangu atashinda alisikika mzeee Mmoja akiongea.

Hii ni Hadithi ya mwaka 20468483.
Sio kupiga kura hata uchaguzi wenyewe hautakuwepo bila mabadiliko
 
Kwa mtazamo wangu, Watu Wengi Hawato piga kura, Watakao jitokeza Wengi ni wapiga kura wapya.

Kama Mimi Binafsi Sina Nia ya kupiga kura maana Mgombea wangu atashinda alisikika mzeee Mmoja akiongea.

Hii ni Hadithi ya mwaka 20468483.
Na Wala hatuhitaji hao nyumbu wakapige, sisi wananchi wenyewe tunatosha.
 
Ccm itahamasisha wanachama wake wakakipigie kura chama chao na ndiyo itakuwa akidi ya wapiga kura wote na itajishindia kwa kura hizo za wanachama wake. Vyama vya kinafiki na kimamluki vitakavyoshiriki uchaguzi wa kimagumashi vitaenda kujazia kura za ushindi wa ccm na vitaangukia pua
 
Back
Top Bottom