Aiseee!Unadhani bila K baba yako angemuoa mama yako? Unadhani bila K ungezaliwa? Kwa taarifa yako K ni bonge la kiwanda... mtaji ni juhudi zako mwenyewe
Shubaamit!
Kakuudhi leo sihawahi ona unasema maneno haya, pole babuUnadhani bila K baba yako angemuoa mama yako? Unadhani bila K ungezaliwa? Kwa taarifa yako K ni bonge la kiwanda... mtaji ni juhudi zako mwenyewe
Shubaamit!
Eti jamani kapeace jinsi K ilivo tamu mtu anaikosea heshima hivi hivi? Mi bora nikose ubwabwa kuliko kukosa K. Liwalo na liweKakuudhi leo sihawahi ona unasema maneno haya, pole babu
Kuna mtu alinambia eti napenda sana hiyo makitu nikamwambia hata Adam na Eva Mungu aliwaumbia hichoEti jamani kapeace jinsi K ilivo tamu mtu anaikosea heshima hivi hivi? Mi bora nikose ubwabwa kuliko kukosa K. Liwalo na liwe
HahahahahahahahaDah....nimekuja mbio nikajua uliwabeba
Ila inaleta maudhi sana mwanaume anadeka kuzidi mpaka kichefu chefu, yaani nikujifunza watoto wetu tuwalee vizuri jamani sio malezi hayahahahahah siku ile ulikua na mafua lakini walaaa hukuboa !augue mwingine mafua sasa utadhan ana hOMA YA ZIKA mxiew
Ni vitabia mtu amekua navyo toka utoto hayuko independent kwa namna yoyote. Halafu Mbiti huwezi kumpata mtu ambaye mtafanana kila kitu ndg yangu cha msingi ufanye yale anayoshindwa na ww kuna angle fulani huwezi anakusaidia. Maisha yanaendeleaahhhhhhhhhhhhhaaaaaaaa ujue nahitaj kujua huwa shida ni nn ?
Huku kijijini kwetu Mibikimitaali tunawaita "vagayasiida"!pyeeeeee
Rafiki wazito tena???Jamani nisaidieni hili,kuna baadhi ya watu nimewahi kukutana nao maishani mwangu huwa ni wazito natural,hivi huwa ni nn ? yaan wazito tuu hawapo active ,shida huwa ni nn !yaan namaniisha unaweza mkuta yupo yupo tu hawezi kitu chochote hata kazi ndogo ndogo yeye huwa majanga kwake,ukija kwenye suala la pesa hachangamkii fursa yupo radhi alale njaa km hana pesa !hivi watu kama hawa huwa wanashida ipi jaman !
mtu wa namna hii mfano anaweza kukwama na gari badala ya kufight alitoe yeye anaweza jikuta analitelekeza hapo na kurud nyumban hawez jiongeza ampigie mtu amsaidie,mifano ni mingi sana nahitaj kujua mbona kuna wengine akili zao huwa zinaenda fast wengine zinakuwa very slow!
Na watu kama hawa wale chakula gan waamshe bongo zao? pia nimegundua huwa ni waoga yaan anahofu tu yeye sio wa kufanya jambo anataka ufanye wewe yeye amekaa pemben tu !namanisha wana HOFU !hyo hofu hutokana na nn??
binafsi nakereka !
cc; madoctors wote mnisaidie !
hhhahahha hivi kweli wewe gudume umeamua kunichafulia uzi hivi hivi !nimeghafirika sana na kudhalilika sana aisee !naachia ngazi
hahaahaahh, sawa sawa, mtunza hazina tumpe miss chaggatuanzishe vicoba jamani
Umenena vyema stephot.Hiyo shida mara nyingi huwa inaanzia kwenye malezi..