Watu wazito wananikera

Hayo madude nilikuwa nayachukulia Poa shosti huwezi amini yalinifanya nilazwe siku tatu na mpk sasa nimebabuka midomo ajili ya homa yake madude hayo


ahhaahahhaha uwii !atlest wewe jaman !mayb mie nimezaliwa kwenye barid nishazoea matonsils !mie hayawez nilaza siku 3 aise never
 
Kila mtu na dhaifu lake mwingine ishu nyeti kabisa badala ahangaike nayo kabla anasubiri deadline hawa watu watuheshimu tu tunawalea sana
 
ahhaahahhaha uwii !atlest wewe jaman !mayb mie nimezaliwa kwenye barid nishazoea matonsils !mie hayawez nilaza siku 3 aise never
Siku yakikupatia unite nikuuguze nimekua nikiugua madude hayo lkn kipindi hiki naona nayo yamesoma namba sio kwa style yalonijia aiseee
 
Siku yakikupatia unite nikuuguze nimekua nikiugua madude hayo lkn kipindi hiki naona nayo yamesoma namba sio kwa style yalonijia aiseee


mie mimba ndo inanilaza ndani aisee sio hayo
 
Hawa wnakuwa wazito kila sehemu au kwenye kazi hizo tu?maeneo mengine je wanajituma?maana wapo wengine wazito kazi kama hizo ila kuna shughuli wanakuwa wepesi mpaka utapenda.

 
Hawa wnakuwa wazito kila sehemu au kwenye kazi hizo tu?maeneo mengine je wanajituma?maana wapo wengine wazito kazi kama hizo ila kuna shughuli wanakuwa wepesi mpaka utapenda.


GuDume
 
Halaf umewatag wengine sisi ma doctor love umetusahau. Watu wanakuwa wazito sababu hawajui kubalance kiuno na mwili wakati wa kunanii. Pia kutokana na style.kuna style nyingne mtu anaonekana mzito. Na pia mwambie mnapokuwa kifo cha mende asikulalie sana ajiegemeze kwa mikono ili kupata balance.hapo hata kama angekuwa na kilo 500 utaenjoy tu. Ila kama mzito sana uwe unamkalia tu.mbona kapt komba alikuwa ana date watoto wepes tu wadogo?

Mwambie ajishughulishe bwana hashangai ferry shilling inazama na meli inaelea?
 
Mkuu tatizo la hivyo lina sababu nyingi,moja ya sababu ni makuzi ya muhusika,kwa mfano mm makuzi yangu nimekulia kwenye "tifu" shule ya msingi ilikua 6kms away,Sec ikawa 11kms away,na nikawa namudu kwenda kila siku na kurudi home tena kwa miguu.So hii ilinijenga sana na nikawa very smart,nilikwishatembea from Moro to Chalinze kwa "teke" 2001 nikienda Dar kusaka maisha....
Anyway,sipendi kukumbuka ya nyuma.Ndio hivyo tena malezi yanaweza haribu future ya mtu.
Gudnite bye!
 
mie mimba ndo inanilaza ndani aisee sio hayo
Tuko wengi.Nalalaga ndani miezi mitatu ya mimba changa. Baada ya hapo utanikuta labour.Hayo matonsils yanasumbua watu sana.Wiki iloisha yalimshika Mr.yakampa homa hadi vidonda kwenye lips.
Nlivoona umeandika nkashtuka manake umenigusa.
 


hhhahahha hivi kweli wewe gudume umeamua kunichafulia uzi hivi hivi !nimeghafirika sana na kudhalilika sana aisee !naachia ngazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…