Watu washenzi ni kuwakwepa

Watu washenzi ni kuwakwepa

Moto wa volcano

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2018
Posts
1,617
Reaction score
3,718
Katika maisha yako.. ukinusa tu dalili za ushenzi wa mtu au kutofautiana lugha na mtu anza kuweka mipaka naye usisubili mpaka mgombane ndo uanze kusema kitambo naku mind bro.. hizo kauli zinakujaga mkisha vutana mashati biblia inasema mtu mwenye akili huona mabaya na kujificha
 
Katika maisha yako.. ukinusa tu dalili za ushenzi wa mtu au kutofautiana lugha na mtu anza kuweka mipaka naye usisubili mpaka mgombane ndo uanze kusema kitambo naku mind bro.. hizo kauli zinakujaga mkisha vutana mashati biblia inasema mtu mwenye akili huona mabaya na kujificha
 
Katika maisha yako ukinusa tu dalili za ushenzi wa mtu au kutofautiana lugha na mtu anza kuweka mipaka naye usisubiri mpaka mgombane ndo uanze kusema kitambo naku mind bro. Hizo kauli zinakujaga mkishavutana mashati biblia inasema mtu mwenye akili huona mabaya na kujificha
 
Katika maisha yako.. ukinusa tu dalili za ushenzi wa mtu au kutofautiana lugha na mtu anza kuweka mipaka naye usisubili mpaka mgombane ndo uanze kusema kitambo naku mind bro.. hizo kauli zinakujaga mkisha vutana mashati biblia inasema mtu mwenye akili huona mabaya na kujificha
Mkuu,hiyo imeandikwa ktk kitabu gani ktk biblia ili nisome leo!
 
Katika maisha yako.. ukinusa tu dalili za ushenzi wa mtu au kutofautiana lugha na mtu anza kuweka mipaka naye usisubili mpaka mgombane ndo uanze kusema kitambo naku mind bro.. hizo kauli zinakujaga mkisha vutana mashati biblia inasema mtu mwenye akili huona mabaya na kujificha
Hiyo ni busara ya MUNGU na biblia ina sema kuna hekima ya MUNGU na hekima ya kibinadamu na YESU alisema wana wa dunia hii wana hekima katika mambo yao wenyewe .
Najua umetushauri wale tunaopenda hekima ya MUNGU wale wa dunia watafata utaratibu wao wa kumaindiana tu ndio wanaouelewa.
 
Katika maisha yako.. ukinusa tu dalili za ushenzi wa mtu au kutofautiana lugha na mtu anza kuweka mipaka naye usisubili mpaka mgombane ndo uanze kusema kitambo naku mind bro.. hizo kauli zinakujaga mkisha vutana mashati biblia inasema mtu mwenye akili huona mabaya na kujificha
Mkuu,hiyo imeandkwa ktk kitabu gani ili nikasome?
 
Amina mtumishi... ubarikiwe
Hiyo ni busara ya MUNGU na biblia ina sema kuna hekima ya MUNGU na hekima ya kibinadamu na YESU alisema wana wa dunia hii wana hekima katika mambo yao wenyewe .
Najua umetushauri wale tunaopenda hekima ya MUNGU wale wa dunia watafata utaratibu wao wa kumaindiana tu ndio wanaouelewa.
 
Katika maisha yako.. ukinusa tu dalili za ushenzi wa mtu au kutofautiana lugha na mtu anza kuweka mipaka naye usisubili mpaka mgombane ndo uanze kusema kitambo naku mind bro.. hizo kauli zinakujaga mkisha vutana mashati biblia inasema mtu mwenye akili huona mabaya na kujificha
Maneno KUNTU haya, tukiyazingatia haya ugomvi utapungua sana. Asante sana
 
Umeongea madini matupu mtoa uzi hasa ulipowataja kina bro...Ukihusianisha na watu washenzi.Maana hata humu kutwa kina Bro wanatusakama Dada zao.Mara tuna roho mbaya kwenye daladala, sijui single mother Mara tunauza naniliu. KWANIABA YA WENZANGU NASEMA KUWA UZI WA KUTUCHOKOZA TUTAUPUUZA KUKWEPA KINA BRO..
 
Amina
Umeongea madini matupu mtoa uzi hasa ulipowataja kina bro...Ukihusianisha na watu washenzi.Maana hata humu kutwa kina Bro wanatusakama Dada zao.Mara tuna roho mbaya kwenye daladala, sijui single mother Mara tunauza naniliu. KWANIABA YA WENZANGU NASEMA KUWA UZI WA KUTUCHOKOZA TUTAUPUUZA KUKWEPA KINA BRO..
 
Back
Top Bottom