Watu wangeruhusiwa kupata supu ya bangi

Watu wangeruhusiwa kupata supu ya bangi

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
11,668
Reaction score
20,638
Kiukweli bangi haina shida kama inavyotangazwa vibaya. Bangi haina tofauti na kahawa. Tena bangi inafaida sana. Moja ya faida ya bangi ni kukata hangover. hakuna dawa nzuri ya hangover kama bangi. Napendekeza watu waruhusiwe kupata supu ya bangi ili kukata hangover. Assume supu ya mbuzi imeungwa bangi unaipata asubuhi!

1663221360548.png
 
Back
Top Bottom