Maleven
JF-Expert Member
- Sep 8, 2019
- 783
- 3,665
Nitakuwa naishi maisha ya kujitesa sana, nahisi bado sijajua uhalisia wa maisha. huwa nakua na hasira sana mfano unamtuma ndugu yako au mtu yoyote wa karibu kufata huduma au bidhaa fulani labda kwa kua ww uko busy, lkni unakuja kujua amekutajia bei ambayo sio sahihi sababu tu, yeye sio mtu anaetoa hiyo hela.
moja ya ndugu yangu alinitajia ttzo lililotokea nyumbani akanitajia bei tofauti ya kutatua tatizo, cha ajabu mtoa huduma ananijua akanitafuta akanijuza, nilikasirika sana
Uaminifu imekuwa bidhaa adimu sana kwa kweli.
moja ya ndugu yangu alinitajia ttzo lililotokea nyumbani akanitajia bei tofauti ya kutatua tatizo, cha ajabu mtoa huduma ananijua akanitafuta akanijuza, nilikasirika sana
Uaminifu imekuwa bidhaa adimu sana kwa kweli.