Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 3,185
- 12,332
Trump kachemka hapa, alijua kabisa moto wa China sio wa kitoto ila bado anaendelea kuupima.
Alijua kwamba endapo angewapiga pia Russia na North korea hizo tarrifs kisha Wote kwa pamoja wakajibu basi USA ingepumulia mashine.
Ili kutimiza tabia yake chafu akaona aanze na china kwanza huku urusi na north korea akiwapa 0%.
Najua mchina aki-cave in tu basi mpira unaamishiwa Urusi na kisha north korea. Maana haiingii akilini hadi Ukraine apigwe tarrifs ila Russia apewe 0%.
Taarifa mbaya ni kwamba mchina nae kakaza, wahuni wanasema ukimwaga mboga hatumwagi ugali, bali tunaondoka nao na kwenda kuomba mboga kwa jirani.
Alijua kwamba endapo angewapiga pia Russia na North korea hizo tarrifs kisha Wote kwa pamoja wakajibu basi USA ingepumulia mashine.
Ili kutimiza tabia yake chafu akaona aanze na china kwanza huku urusi na north korea akiwapa 0%.
Najua mchina aki-cave in tu basi mpira unaamishiwa Urusi na kisha north korea. Maana haiingii akilini hadi Ukraine apigwe tarrifs ila Russia apewe 0%.
Taarifa mbaya ni kwamba mchina nae kakaza, wahuni wanasema ukimwaga mboga hatumwagi ugali, bali tunaondoka nao na kwenda kuomba mboga kwa jirani.