Tman900
JF-Expert Member
- May 30, 2017
- 969
- 3,070
Kuna baadhi ya kazi mtu akifanya au wazifa fulani mtu akifikia katika maisha huwa wanaojiamini kupitiliza, kuna rafiki yangu kwa sasa ni marehemu huyo rafiki yangu alikua anajiamini kupitiliza.
Ila leo tena nimekutana na ndugu yangu nae ana hizo element za kujiamini kupitiliza.
Nimepanda kwenye gari yake, hizo speed na rafu za barabarani yaani mpaka nikaona hapa nimeweka maisha yangu reheani maana chochote kinaweza kutokea pia gari halitambui cheo wala wazifa wa mtu.
Daaa jamaaa anajiamini kupitiliza mpaka kwenye chombo cha moto.
Imebidi nimdanganye nishuke kwenye gari yake nimuache aende.
Nipo kwenye daladala narudi home mdogo mdogo.
Ila leo tena nimekutana na ndugu yangu nae ana hizo element za kujiamini kupitiliza.
Nimepanda kwenye gari yake, hizo speed na rafu za barabarani yaani mpaka nikaona hapa nimeweka maisha yangu reheani maana chochote kinaweza kutokea pia gari halitambui cheo wala wazifa wa mtu.
Daaa jamaaa anajiamini kupitiliza mpaka kwenye chombo cha moto.
Imebidi nimdanganye nishuke kwenye gari yake nimuache aende.
Nipo kwenye daladala narudi home mdogo mdogo.